Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara washauriwa kufunga CCTV

WAFANYABIASHARA wameshauriwa kufunga kamera za CCTV katika maeneo yenye biashara kubwa, kusaidia kuzuia na kubaini wahalifu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV

WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze  kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...

 

11 years ago

Mwananchi

Zanzibar kufunga CCTV kudhibiti uhalifu

 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imepanga kufunga kamera za usalama (CCTV) katika maeneo mbalimbali ya kitalii visiwani hapa ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na uhalifu.

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD

Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyabiashara washinikiza korti kwa kufunga maduka

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson MinjaSIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja, kufutiwa dhamana na Mahakama na kupelekwa rumande, wafanyabiashara sehemu mbalimbali nchini, wamefunga maduka kushinikiza kuachiwa kwa kiongozi wao.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

10 years ago

Daily News

Isles to install CCTV


Isles to install CCTV
Daily News
IN wake of public and lawmakers' complaints against the rising threats of insecurity on the Isles, government is now in the process of fixing CCTV systems in strategic areas. Following an increase in crime and incidents of terrorism in the East African region, ...

 

11 years ago

TheCitizen

CCTV cameras to be installed in Arusha

Closed-circuit television cameras will be installed in some areas of Arusha, police say.

 

11 years ago

Mwananchi

Arusha kutumia CCTV kudhibiti uhalifu

Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Arusha imeazimia kufunga kamera maalumu za ulinzi (CCTV) kwenye mitaa na barabara kuu zote zinazoingia na kutoka jijini Arusha ili kufuatilia nyendo za watu kwa lengo la kudhibiti vitendo vya uhalifu.

 

10 years ago

Michuzi

3D cctv camera zinapatikana Dar es salam

3D cctv camera hizi Tuna-supply na ku-install hizo camera ambazo ni unique. Anayehitaji piga namba hizo chini - Uliza Bernard0787 2415140713 266007

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani