Wafanyabiashara washauriwa kufunga CCTV
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kufunga kamera za CCTV katika maeneo yenye biashara kubwa, kusaidia kuzuia na kubaini wahalifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV
WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Zanzibar kufunga CCTV kudhibiti uhalifu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3RCa1NBb3k/VV8W5hnrGWI/AAAAAAAHZAA/g_QnzTDGwI0/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...
10 years ago
Habarileo28 Mar
Wafanyabiashara washinikiza korti kwa kufunga maduka
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja, kufutiwa dhamana na Mahakama na kupelekwa rumande, wafanyabiashara sehemu mbalimbali nchini, wamefunga maduka kushinikiza kuachiwa kwa kiongozi wao.
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
10 years ago
Daily News04 Apr
Isles to install CCTV
Daily News
IN wake of public and lawmakers' complaints against the rising threats of insecurity on the Isles, government is now in the process of fixing CCTV systems in strategic areas. Following an increase in crime and incidents of terrorism in the East African region, ...
11 years ago
TheCitizen09 Aug
CCTV cameras to be installed in Arusha
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Arusha kutumia CCTV kudhibiti uhalifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3kIhSeuE0cM/VUdnqRF7-UI/AAAAAAAHVLA/YO8DxD1AAws/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
3D cctv camera zinapatikana Dar es salam
![](http://2.bp.blogspot.com/-3kIhSeuE0cM/VUdnqRF7-UI/AAAAAAAHVLA/YO8DxD1AAws/s640/unnamed%2B(16).jpg)