Zanzibar kufunga CCTV kudhibiti uhalifu
 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imepanga kufunga kamera za usalama (CCTV) katika maeneo mbalimbali ya kitalii visiwani hapa ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na uhalifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Arusha kutumia CCTV kudhibiti uhalifu
10 years ago
Habarileo22 Oct
Zanzibar kutumia kamera kudhibiti uhalifu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaweka kamera katika maeneo mbalimbali Unguja na Pemba kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uhalifu.
11 years ago
Habarileo03 Jul
Wafanyabiashara washauriwa kufunga CCTV
WAFANYABIASHARA wameshauriwa kufunga kamera za CCTV katika maeneo yenye biashara kubwa, kusaidia kuzuia na kubaini wahalifu.
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Wafanyabiashara watakiwa kufunga kamera za CCTV
WAFANYA BIASHARA wakubwa wa hoteli na maduka nchini wametakiwa kufunga kamera za CCTV kwenye biashara zao ili unapotokea uhalifu wahusika waweze kubainika mara moja na kukamatwa kiurahisi bila kusumbua jeshi...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Polisi waomba CCTV Mji Mkongwe kukabili uhalifu
JESHI la Polisi Zanzibar limeitaka Serikali pamoja na taasisi binafsi sekta ya utalii kuangalia uwezekano wa kupatikana kwa huduma za kamera (CCTV) za kuchunguza matukio ya uhalifu katika maeneo ya Mji Mkongwe ili kupambana na vitendo hivyo ambavyo vinalipaka matope jina zuri la Zanzibar.
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Polisi kutumia “Whatsapp†kudhibiti uhalifu
Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha (ACP) Edward Balele akifungua kikao kati ya Jeshi hilo na Taasisi za ulinzi kujadili mustakabali wa usalama ndani ya mkoa huu. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Jijini hapa (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha).
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya KK kanda ya Kaskazini Claude Herssens akichangia mada katika kikao kilichoandaliwa na Jeshi la Polisi Mkoani hapa na kuziusisha taasisi mbalimbali za ulinzi...
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Polisi Arusha kudhibiti uhalifu kwa ‘WhatsApp’
5 years ago
MichuziMasauni - Polisi zingatieni Misingi ya Sheria kudhibiti Uhalifu
Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Machi 16,2020 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akifungua Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BW7QWHRAr90/XnEZisZl8AI/AAAAAAALkLc/JIH78QwUUvIHd90GjTfHYpmNriT7SreqQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-6-768x512.jpg)
MASAUNI-POLISI ZINGATIENI MISINGI YA SHERIA KUDHIBITI UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-BW7QWHRAr90/XnEZisZl8AI/AAAAAAALkLc/JIH78QwUUvIHd90GjTfHYpmNriT7SreqQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-6-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na wajumbe(hawapo pichani), wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi ambapo amelitaka jeshi hilo kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.Ufunguzi wa kikao hicho umefanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa...