Polisi Arusha kudhibiti uhalifu kwa ‘WhatsApp’
Polisi mkoani Arusha wamedhamiria kushirikiana na kampuni ya za ulinzi kupeana taarifa za uhalifu na wahalifu mara kwa mara kwa njia mtandao wa kijamii ya mtandao wa ‘WhatsApp.’
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Arusha kutumia CCTV kudhibiti uhalifu
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Polisi kutumia “Whatsapp†kudhibiti uhalifu
Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha (ACP) Edward Balele akifungua kikao kati ya Jeshi hilo na Taasisi za ulinzi kujadili mustakabali wa usalama ndani ya mkoa huu. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Jijini hapa (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha).
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya KK kanda ya Kaskazini Claude Herssens akichangia mada katika kikao kilichoandaliwa na Jeshi la Polisi Mkoani hapa na kuziusisha taasisi mbalimbali za ulinzi...
5 years ago
MichuziMasauni - Polisi zingatieni Misingi ya Sheria kudhibiti Uhalifu
Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Machi 16,2020 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akifungua Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BW7QWHRAr90/XnEZisZl8AI/AAAAAAALkLc/JIH78QwUUvIHd90GjTfHYpmNriT7SreqQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-6-768x512.jpg)
MASAUNI-POLISI ZINGATIENI MISINGI YA SHERIA KUDHIBITI UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-BW7QWHRAr90/XnEZisZl8AI/AAAAAAALkLc/JIH78QwUUvIHd90GjTfHYpmNriT7SreqQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-6-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na wajumbe(hawapo pichani), wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi ambapo amelitaka jeshi hilo kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.Ufunguzi wa kikao hicho umefanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MJlRoZLzYVI/XtoVUxc98NI/AAAAAAALsrg/gRbPFfjjYK40ipG9oulZN4vx-d-7HJatwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2BNo.1.jpg)
Polisi Arusha wapongezwa kupunguza matukio ya uhalifu
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amelipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kufanikiwa kupunguza na kudhibiti matukio ya uhalifu hali ambayo imepelekea shughuli za kiuchumi kufanyika kwa amani hasa utalii.
Alitoa pongezi hizo wakati akifungua kikao kazi kilichohusisha Maafisa wa Polisi pamoja na Polisi Kata 157 toka kata zote za Mkoa wa Arusha ambacho kilikua na lengo la kukumbushana wajibu wa Polisi Kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
Amesema...
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Taarifa ya Polisi Arusha ya matukio ya uhalifu na majina ya watuhumiwa wanaopandishwa kizimbani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, SACP, Liberatus Sabas.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA
Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kuwa Wiki Moja Iliyopita Jeshi La Polisi Lilitoa Taarifa Kwa Umma Juu Ya Watuhumiwa Sita Waliokamatwa Na Kufikishwa Mahakamani Kuhusiana Na Tukio La Mlipuko Wa Bomu Uliotokea Tarehe 07/07/2014 Katika Mgahawa Wa Vama Uliopo Maeneo Ya Viwanja Vya Gymkana Jijini Arusha.
Taarifa Hiyo Ilizungumzia Pia Tukio La Kukamatwa...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Polisi yashikilia wawili kwa tuhuma za uhalifu
POLISI mkoani Rukwa inashikilia watuhumiwa wawili wanaodaiwa kujihusisha na matukio ya kihalifu mjini hapa.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Zanzibar kufunga CCTV kudhibiti uhalifu
10 years ago
Habarileo22 Oct
Zanzibar kutumia kamera kudhibiti uhalifu
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaweka kamera katika maeneo mbalimbali Unguja na Pemba kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uhalifu.