Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masauni - Polisi zingatieni Misingi ya Sheria kudhibiti Uhalifu


Serikali imelitaka Jeshi la Polisi kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo Machi 16,2020 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akifungua Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi kilichofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Napenda...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MASAUNI-POLISI ZINGATIENI MISINGI YA SHERIA KUDHIBITI UHALIFU




Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na wajumbe(hawapo pichani),  wakati wa Ufunguzi wa Kikao cha Kumi na Mbili cha Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Jeshi la Polisi ambapo amelitaka jeshi hilo kuzingatia misingi ya sheria katika kudhibiti viashiria au matendo ya uhalifu katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu.Ufunguzi wa kikao hicho umefanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Polisi kutumia “Whatsapp” kudhibiti uhalifu

JC9A1116

Mkuu wa Operesheni wa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha (ACP) Edward Balele akifungua kikao kati ya Jeshi hilo na Taasisi za ulinzi kujadili mustakabali wa usalama ndani ya mkoa huu. Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Jijini hapa (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha).

JC9A1123

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya KK kanda ya Kaskazini Claude Herssens akichangia mada katika kikao kilichoandaliwa na Jeshi la Polisi Mkoani hapa na kuziusisha taasisi mbalimbali za ulinzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi Arusha kudhibiti uhalifu kwa ‘WhatsApp’

Polisi mkoani Arusha wamedhamiria kushirikiana na kampuni ya za ulinzi kupeana taarifa za uhalifu na wahalifu mara kwa mara kwa njia mtandao wa kijamii ya mtandao wa ‘WhatsApp.’

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Zingatieni sheria za uzazi’

SERIKALI imewataka waajiri katika taasisi zake mbalimbali na zile zisizo za kiserikali kuzingatia na kulinda sheria zinazowalinda wanawake wanaojifungua kwa kuwapa likizo za uzazi. Waajiri hao pia wametakiwa kuzingatia sheria...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ushirika, Vicoba zingatieni sheria’

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo amevitaka vyama vya ushirika na vikundi vya Benki za Jamii Vijijini (Vicoba), kuzingatia sheria na kanuni za ushirika ili kuchangia ukuaji wa uchumi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

5 years ago

Michuzi

Waandishi zingatieni maadili, sheria


Na. Vero Ignatus

CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.

Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...

 

9 years ago

Michuzi

MAWAKILI ZINGATIENI MAADILI YA TAALUMA YA SHERIA – JAJI MKUU

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda na gharama katika masuala yanayoweza kupatiwa ufumbuzi nje ya Mahakama.  Akizungumza na Mawakili wapya 104 waliohitimu Shule ya Sheria kwa mwaka 2015 wakati wa hafla ya 53 ya kuwapokea na kuwaapisha iliyofanyika katika viwanja vya Karimjee leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Arusha kutumia CCTV kudhibiti uhalifu

Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Arusha imeazimia kufunga kamera maalumu za ulinzi (CCTV) kwenye mitaa na barabara kuu zote zinazoingia na kutoka jijini Arusha ili kufuatilia nyendo za watu kwa lengo la kudhibiti vitendo vya uhalifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Zanzibar kufunga CCTV kudhibiti uhalifu

 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imepanga kufunga kamera za usalama (CCTV) katika maeneo mbalimbali ya kitalii visiwani hapa ikiwa ni moja ya jitihada za kupambana na uhalifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani