UN kuchapisha mataifa yanayochafua mazingira
Inadaiwa kuwa joto limeongezeka kwa zaidi ya kipimo cha nyuzi joto mbili, na kuhatarisha zaidi sayari ya dunia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fOfEOdbhBuQ/VnYaEDF-5mI/AAAAAAAAL6c/fq07Qm6KtGE/s72-c/FullSizeRender%2B%25287%2529.jpg)
Namna ya Kuchapisha Vitabu Mtandaoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-fOfEOdbhBuQ/VnYaEDF-5mI/AAAAAAAAL6c/fq07Qm6KtGE/s200/FullSizeRender%2B%25287%2529.jpg)
Kutokana na taarifa ninazoandika katika blogu hii, na sehemu zingine, watu wengi wanafahamu kuwa nimechapisha vitabu vyangu mtandaoni. Nimeshawasaidia waandishi kadhaa wa mataifa mbali mbali kuchapisha vitabu vyao kwa mtindo huo. Kwa upande wa Tanzania, niliwahi kuongea na wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhusu suala hilo, na nilinukuliwa katika gazeti la Mwananchi.
Mara kwa mara, watu huniulizia kuhusu kuchapisha vitabu vyao. Napenda kuongelea tena suala hili,...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
FIFA sasa kuchapisha ripoti ya Garcia
Maafisa wa FIFA wamekubaliana kuchapisha ripoti kuhusu uchunguzi wa madai ya ufisadi wa kandarasi za kombe la dunia 2018 na 2022
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa
Mwanaume mmoja aliyeua mkewe na kuchapisha picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook amepatikana na hatia ya mauaji.
10 years ago
Habarileo27 Mar
Kuchapisha takwimu holela jela miaka 3
BUNGE limepitisha miswada minne iliyokwama kupitishwa katika vikao vya nyuma, kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo Muswada wa Sheria ya Takwimu wa mwaka 2013, unaowabana waandishi na vyombo vya habari, watakaochapisha taarifa za takwimu bila idhini ya Serikali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9twtVIXZmCA/XqbYIIhdTrI/AAAAAAALoVw/jI1GUoV-nMUVRHBEbGqjiggwDY9oRCdkgCLcBGAsYHQ/s72-c/Yanga.jpg)
YANGA KUCHAPISHA NAKALA 50,000 ZA JARIDA LAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-9twtVIXZmCA/XqbYIIhdTrI/AAAAAAALoVw/jI1GUoV-nMUVRHBEbGqjiggwDY9oRCdkgCLcBGAsYHQ/s400/Yanga.jpg)
Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli wakati wa mahojiane yake na Kituo cha Redio cha EFM leo Jijini Dar es Salaam.
Bumbuli amesema wainatarajia kuzindua jarida hilo siku ya Alhamisi hii na litasambazwa nchi nzima.
Amesema, tayari wapo kwenye za mwisho na wanatarajia kuchapa nakala 50,000 za jarida hilo na litakuwa na makala na...
5 years ago
BBCSwahili27 May
Twitter yamuonya rais Donald Trump dhidi ya kuchapisha ujumbe wa 'uongo'
Hii ni mara ya kwanza mtandao huo wa kijamii umesema ujumbe wa Donald Trump huenda unapotosha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LSb2ddFjlBU/XnTZf7_7FCI/AAAAAAALkjo/eZJvhJsGrQoGPnH79AOHpeGJauzyVkImgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.09.01%2BPM.jpeg)
MSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LSb2ddFjlBU/XnTZf7_7FCI/AAAAAAALkjo/eZJvhJsGrQoGPnH79AOHpeGJauzyVkImgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.09.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fWvDVyJroWQ/XnTZfnnncQI/AAAAAAALkjk/1UM9tf6Wn5kjPoAsjOU8esVkdcEkrOB5gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.49.40%2BPM.jpeg)
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania