Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN kuchapisha mataifa yanayochafua mazingira

Inadaiwa kuwa joto limeongezeka kwa zaidi ya kipimo cha nyuzi joto mbili, na kuhatarisha zaidi sayari ya dunia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Namna ya Kuchapisha Vitabu Mtandaoni

Na Profesa Mbele
Kutokana na taarifa ninazoandika katika blogu hii, na sehemu zingine, watu wengi wanafahamu kuwa nimechapisha vitabu vyangu mtandaoni. Nimeshawasaidia waandishi kadhaa wa mataifa mbali mbali kuchapisha vitabu vyao kwa mtindo huo. Kwa upande wa Tanzania, niliwahi kuongea na wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhusu suala hilo, na nilinukuliwa katika gazeti la Mwananchi.

Mara kwa mara, watu huniulizia kuhusu kuchapisha vitabu vyao. Napenda kuongelea tena suala hili,...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA sasa kuchapisha ripoti ya Garcia

Maafisa wa FIFA wamekubaliana kuchapisha ripoti kuhusu uchunguzi wa madai ya ufisadi wa kandarasi za kombe la dunia 2018 na 2022

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyeua na kuchapisha kwa Facebook kufungwa

Mwanaume mmoja aliyeua mkewe na kuchapisha picha yake kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook amepatikana na hatia ya mauaji.

 

10 years ago

Habarileo

Kuchapisha takwimu holela jela miaka 3

BUNGE limepitisha miswada minne iliyokwama kupitishwa katika vikao vya nyuma, kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo Muswada wa Sheria ya Takwimu wa mwaka 2013, unaowabana waandishi na vyombo vya habari, watakaochapisha taarifa za takwimu bila idhini ya Serikali.

 

5 years ago

Michuzi

YANGA KUCHAPISHA NAKALA 50,000 ZA JARIDA LAO

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiKLABU ya Yanga inatarajia kuchapisha nakala elfu hamsini (50,000) za jarida litakalozinduliwa alhamisi ya wiki hii.
Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli  wakati wa mahojiane yake na Kituo cha Redio cha EFM leo Jijini Dar es Salaam.
Bumbuli amesema wainatarajia kuzindua jarida hilo siku ya Alhamisi hii na litasambazwa nchi nzima. 
Amesema, tayari wapo kwenye za mwisho na wanatarajia kuchapa nakala 50,000 za jarida hilo na litakuwa na makala na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Twitter yamuonya rais Donald Trump dhidi ya kuchapisha ujumbe wa 'uongo'

Hii ni mara ya kwanza mtandao huo wa kijamii umesema ujumbe wa Donald Trump huenda unapotosha.

 

5 years ago

Michuzi

MSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI

 Msnii wa vichekesho nchini, Idris Sultan akiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.MSANII wa vichekesho nchini, Idris Sultan na wenzake wawili wamefikishwa leo Machi 20,2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wakikabiliwa na kosa moja la kuchapisha maudhui mtandaoni bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...

 

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA

Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema ambaye alimwakilisha mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki (katikati) akipokea maandamano ya wadau mbalimbali wakati wa maadhimisho ya kilele cha wiki ya mazingira jijini Dar es salaam.Kulia ni Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa.  Baadhi ya wananchi na wanafunzi kutoka shule mbalimbali za jiji la Dar es salaam wakiwa kwenye maandamano huku wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali wakati wa kilele cha wiki ya mazingira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani