Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EAC sasa kutumia sarafu za ndani

Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zitaanza kutumia sarafu zao za ndani katika malipo ya kibiashara na huduma miongoni mwao badala ya sarafu za kigeni baada ya kuzinduliwa kwa mradi wa mfumo wa ushirikiano wa malipo ndani ya EAC.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?

>Mwishoni mwa Novemba mwaka jana, kikao cha 15 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jijini Kampala Uganda kilikubaliana kusaini mkataba wa kuanzisha mchakato wa kuwa na sarafu moja itakayotumika katika nchi zote wanachama wa jumuiya hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa EAC kuhusu sarafu

Shirika la fedha duniani limeonya jumuiya ya Afrika Mashariki dhidi ya kuharakisha mpango wake wa kutaka kuwa na sarafu moja

 

11 years ago

Habarileo

Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi

IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Sarafu moja itakavyoimarisha uchumi nchi wanachama EAC

Wafanyabiashara wamekuwa wakitoa shutuma nyingi za kuvurugwa kibiashara wanapokuwa wameenda kufanya biashara katika moja ya nchi ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Vijimambo

TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.

Taswira ya Uwanja wa Kaitabaulivyo kwa sasa.
Nyasi bandia zikiwa zimewekwa pembeni ya Uwanja tayari kwa kutandikwa katika Uwanja huoMwakilishi kutoka shirikisho la soka Duniani (FIFA) baada ya kukagua maendeleo ya uwekaji nyasi bandi katika uwanja wa mpira wa Kaitaba Amewaomba mafundi kuongeza kasi ili ukamilike kwa muda uliopangwa. Mwakilishi huyo wa FIFA Mhandisi Kelvin Macklain, alitua Bukoba wiki iliyopita na kukagua hatua kwa hatua uwanja huo na alifika hapo kukagua hatua za mwisho...

 

5 years ago

Michuzi

HADI SASA TUMEWEZA KUDHIBITI MAAMBUKIZI YA NDANI KWA NDANI YA CORONA-WAZIRI UMMY

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto, Ummy Mwalimu, akieleza jambo, wakati akiongea na Waandishi wa Habari juu ya mwenendo wa ugonjwa wa Corona (COVID-19) Jijini Dodoma.



Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazeena Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula wakifuatilia neno kutoka kwa Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu (hayupo kwenye picha, wakati akiongea na Waandishi wa Habari juu ya mwenendo wa ugonjwa wa Corona...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EAC kutumia bima moja

NCHI za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zimekubaliana kuanza kutumia bima moja ya afya na bima za magari kwa wananchi wa nchi hizo  kwa lengo kupambana na changamoto zinazoikabili jumuiya...

 

10 years ago

Bongo5

WhatsApp sasa wamekuwezesha kutumia computer kuchat

Mtandao maarufu zaidi wa ujumbe wa simu, WhatsApp sasa unakuwezesha kuwasiliana na marafiki waliopo kwenye simu yako kwa kutumia laptop laptop na PC kwa mara ya kwanza. WhatsApp imeboresha zaidi huduma yake ili wewe uendeleze mazungumzo yako uliyoanzisha kwenye simu unapokuwa unatumia laptop au computer yako. Unapojiunga na huduma hii utakuwa ukipokea na kutuma ujumbe […]

 

10 years ago

GPL

WANAHARAKATI WA BURUNDI WAWATAKA MARAIS WA EAC KUTUMIA NGUVU ZA KIJESHI KUMNG’OA NKURUNZIZA

Wanaharakati hao wakiwa katika mkutano na wanahabari (hawapo pichani). Mwenyekiti wa Taasisi ya Burundi Women and Girls Movement, Prof Christine Mbonyingingo (kati) akizungumza na wanahabari.  Rais wa Taasisi ya Fight For Ongoing Torture, Niyongere Armel akisisitiza…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani