Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WhatsApp sasa wamekuwezesha kutumia computer kuchat

Mtandao maarufu zaidi wa ujumbe wa simu, WhatsApp sasa unakuwezesha kuwasiliana na marafiki waliopo kwenye simu yako kwa kutumia laptop laptop na PC kwa mara ya kwanza. WhatsApp imeboresha zaidi huduma yake ili wewe uendeleze mazungumzo yako uliyoanzisha kwenye simu unapokuwa unatumia laptop au computer yako. Unapojiunga na huduma hii utakuwa ukipokea na kutuma ujumbe […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Utata ulivyoibuka baada ya watu wa Brazil kuzuiwa kutumia WhatsApp..

Mtandao wa WhatsApp umekamata sana sasahivi kutokana na watu wengi kupendelea kuutumia mtandao huo, inakuwaje una smartphone yako alafu unazuiwa kutumia WhatsApp ?!! Brazil imewakuta hiyo. Ishu ilianza hivi, Mahakama ya Brazil iliagiza wamiliki wa mtandao huo kuwapa nafasi ya kuweza kuingilia na kupekua taarifa za kila mtumiaji wa mtandao wa WhatsApp aliyepo Brazil, lakini wamiliki […]

The post Utata ulivyoibuka baada ya watu wa Brazil kuzuiwa kutumia WhatsApp.. appeared first on...

 

9 years ago

Vijimambo

TASWIRA ZA UWANJA WA KAITABA UNAVYOENDELEA MPAKA SASA MJINI BUKOBA. KUMALIZIKA KUJENGWA MWEZI DESEMBA 2015, KAGERA SUGAR KUTUMIA UWANJA WA MUSOMA KWA SASA.

Taswira ya Uwanja wa Kaitabaulivyo kwa sasa.
Nyasi bandia zikiwa zimewekwa pembeni ya Uwanja tayari kwa kutandikwa katika Uwanja huoMwakilishi kutoka shirikisho la soka Duniani (FIFA) baada ya kukagua maendeleo ya uwekaji nyasi bandi katika uwanja wa mpira wa Kaitaba Amewaomba mafundi kuongeza kasi ili ukamilike kwa muda uliopangwa. Mwakilishi huyo wa FIFA Mhandisi Kelvin Macklain, alitua Bukoba wiki iliyopita na kukagua hatua kwa hatua uwanja huo na alifika hapo kukagua hatua za mwisho...

 

11 years ago

Mwananchi

EAC sasa kutumia sarafu za ndani

Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zitaanza kutumia sarafu zao za ndani katika malipo ya kibiashara na huduma miongoni mwao badala ya sarafu za kigeni baada ya kuzinduliwa kwa mradi wa mfumo wa ushirikiano wa malipo ndani ya EAC.

 

10 years ago

Michuzi

Uwanja Mpana wa kuChat na Marafiki kwenye Tenbre-StarTimes!

 Kingine kipya kutoka Star Times kinadondoka kwako! App kali ya Tenbre; sasa itakufanya uzipate habari zote kali, chat room inakayokupa uwezo wakualika marafiki, kupiga stori mbalimbali za vipindi vya Startimes ambapo tabasamu hutawala.
Orodha yote ya vipindi vya wiki nzima itakuwa kiganjani mwako kupitia smartphone yako, unapata uwezo wakipekee kupanga channel uzipendazo kutegemeana na nchi; au mkoa. Si hilo tu, wale wapenzi wa filamu na muziki na habari zataifa hatuja waacha...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema sasa kushambulia kwa kutumia mabaraza yake

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeamua kutumia mabaraza yake kufanya mashambulizi ya kisiasa kujiimarisha miongoni mwa makundi maalum katika jamii.

Kwa mujibu wa habari zilizopatikana kutoka ndani ya chama hicho, chama hicho sasa kitayatumia mabaraza yake ya Vijana (Bavicha), Wanawake (Bawacha) na (Bazecha) kama mkakati wa kulenga makundi mahsusi ya wapiga kura katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katiba sasa itapatikana kwa kutumia vyombo vya dola?

EEEEEH! Eti hivi ndivyo Katiba tarajiwa italindwa? Haya ndiyo maridhiano katika kuandika katiba mpya? Polisi, virungu na mbwa ndio mjadala wa kukamilisha katiba mpya enyi wanadamu? Kama Katiba ni ya...

 

10 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA TIBA: Upasuaji kwa kutumia roboti sasa wafanyika nchini

>Sekta ya afya duniani imeshuhudia mapinduzi yanayolenga kuongeza umri wa kuishi, ubora wa maisha, njia mbadala za uchunguzi, njia bora za matibabu na pia ufanisi na ubora katika huduma za afya.

 

11 years ago

Michuzi

SI DHAMBI KUTUMIA KATIBA ILIYOPO SASA KATIKA CHAGUZI ZIJAZO ENDAPO UKAWA WATAGOMA KURUDI BUNGENI - PINDA

Video imepigwa na Dixon Busagaga wa 
Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini .

 

9 years ago

Dewji Blog

When You Don’t Use Your Computer for a Month

This guy turned on his computer after a month and couldn’t understand why it was not working properly. He opened it up to investigate and found the strangest thing inside. How is that even possible?

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_01

When he finally got the box apart he found that mushrooms has been growing in the circuitry. Weird but totally true and you can see for yourself.

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_02

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_03

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_04

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_05

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_06

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_07

this_is_what_can_happen_when_you_dont_use_your_computer_for_a_month_640_08

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani