Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwanja Mpana wa kuChat na Marafiki kwenye Tenbre-StarTimes!

 Kingine kipya kutoka Star Times kinadondoka kwako! App kali ya Tenbre; sasa itakufanya uzipate habari zote kali, chat room inakayokupa uwezo wakualika marafiki, kupiga stori mbalimbali za vipindi vya Startimes ambapo tabasamu hutawala.
Orodha yote ya vipindi vya wiki nzima itakuwa kiganjani mwako kupitia smartphone yako, unapata uwezo wakipekee kupanga channel uzipendazo kutegemeana na nchi; au mkoa. Si hilo tu, wale wapenzi wa filamu na muziki na habari zataifa hatuja waacha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Cheki list ya vipindi vyako vyote vikali kwenye simu yako na Tenbre Star Times!

Ukishamaliza kudownload app ya Tenbre Star Times, kuangalia orodha ya vipindi vinayo ruka kwa siku hiyo, ni rahisi sana!

1. Kwenye app yako ya tembre, bonyeza kitufe cha menu (nyekundu) juu kushoto kwenye screen ya simu yako. Hii itakuletea orodha yenye baadhi ya vitu kuchagua. Bofya “Channel Guide”.Screenshot_2015-06-17-11-51-39

Screenshot_2015-06-25-10-06-45

2. Sasa utaona orodha kama hii ya kwanza. Ukiscroll chini utaona orodha ya chaneli zilizopo.

Screenshot_2015-06-25-10-06-38

Screenshot_2015-06-25-14-16-38

Screenshot_2015-06-25-14-16-56

3. Chagua chaneli unayotaka na orodha ya vipindi vinavyoruka kwa siku hiyo ita tokezea.

Screenshot_2015-06-25-14-13-46

Screenshot_2015-06-25-14-43-11

Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

DULLAH MSANGI AWAALIKA MARAFIKI KWENYE BBQ, HOOVER, ALABAMA.

 DJ Dullah Msangi aki-BBQ nyumbani kwake Hoover, Alabama. BBQ hiyo iliandaliwa kuadhimisha pasaka pamoja na kukaribisha baadhi ya ndugu kutoka Tanzania. Kutoka kushoto: Dullah, Victor, wakizungumza na Mama Mtui. Rafiki wa Dullah Msangi wakipata mlo aliowaandalia nyumbani kwake. Kutoka kushoto: Gerald, Awwal, na Victor. Wageni waalikwa wakifurahia mjumuiko wa chakula cha jioni nyumbani kwa Dullah Msangi. Kutoka kushoto ni Mtoto Caren, Mama Mtui, na bi harusi mtarajiwa Suzan, ambaye ni mchumba...

 

11 years ago

CloudsFM

WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA

Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...

 

10 years ago

Bongo5

WhatsApp sasa wamekuwezesha kutumia computer kuchat

Mtandao maarufu zaidi wa ujumbe wa simu, WhatsApp sasa unakuwezesha kuwasiliana na marafiki waliopo kwenye simu yako kwa kutumia laptop laptop na PC kwa mara ya kwanza. WhatsApp imeboresha zaidi huduma yake ili wewe uendeleze mazungumzo yako uliyoanzisha kwenye simu unapokuwa unatumia laptop au computer yako. Unapojiunga na huduma hii utakuwa ukipokea na kutuma ujumbe […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Sasa ni rahisi zaidi kutazama account yako na Tenbre App

Sasa unaweza kucheki bill ya account yako mpaka miezi sita kwa app ya tenbre. Unaweza kuona historia ya account yako, makato au marejesho ya kiasi cha pesa pia yataonekana.

Anza kwa kuchagua “smart card”. Hii itakuonyesha orodha ya vitu mbali mbali.

Untitled 1

Chini ya orodha hii, utaona “Account Bill”, chagua hiyo ili kuangalia bill yako.

Untitled 2

Unaweza kuchagua mwezi unaotaka kuangalia:

Untitled 3

Download Tenbre kwa kutembelea Play Store kwenye simu yako ya Android au bofya hapa

Kama una swali au ungependa kujua...

 

9 years ago

Mwananchi

Ijue hatari ya saratani ya utumbo mpana

Saratani ni mojawapo ya magonjwa ambayo hayachagui tajiri wala maskini. Ugonjwa huu ndiyo uliomsababishia kifo mtu tajiri na mwenye akili nyingi; huyu ni mgunduzi wa mifumo ya simu za Iphone, Steve Jobs.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati teule za bunge ziwe na wigo mpana

Kamati teule za Bunge, zimekuwa zikiundwa na wabunge wenyewe hali inayoelezwa kusababisha malalamiko ya kulindana na kukomoana yanayofanywa na wajumbe ambao ni wanasiasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Soka ni vita kwenye uwanja mstatili

Mchezo wa soka ni maarufu sana duniani. Mchezo huu una mashabiki wengi sehemu mbalimbali wanaoufuatilia. Soka ni mchezo wa akili zaidi kuliko unavyoonekana unachezwa uwanjani, pia huwa ni vita uwanjani kuwania kumiliki mpira.

 

10 years ago

GPL

MAZOEZI YA SIMBA SC KWENYE UWANJA WA NANGWANDA, MTWARA

Kocha wa Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiongoza kikosi chake katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijao, mjini Mtwara, wakijifua  kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Ndanda. Umati wa mashabiki wakishuhudia mazoezi ya kikosi cha Simba jana kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona huko Mtwara, wakijiandaa na mchezo wa leo, dhidi ya Ndanda.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani