Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ijue hatari ya saratani ya utumbo mpana

Saratani ni mojawapo ya magonjwa ambayo hayachagui tajiri wala maskini. Ugonjwa huu ndiyo uliomsababishia kifo mtu tajiri na mwenye akili nyingi; huyu ni mgunduzi wa mifumo ya simu za Iphone, Steve Jobs.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vijana kuathirika na saratani ya utumbo

Saratani ya utumbo miongoni mwa watu walio na umri chini ya mika 34 inatarijiwa kuongezeka maradufu miaka kumi na tano ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Pombe, sigara, chumvi chanzo cha saratani ya utumbo

>Maradhi ya saratani yameendelea kushika kasi duniani kote na kusababisha taharuki kwa watu maskini na hata matajiri. Saratani huweza kuathiri sehemu yeyote ya mwili wa binadamu.

 

10 years ago

Michuzi

IJUE SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI (CERVICAL CANCER)


Na Harriet Shangarai

Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au cells zilizoko  katika shingo ya kizazi.Mabadiliko haya hupelekea chembe chembe hizo kushamiri na kuzaliana kwa kasi kinyume na mpangilio wa maumbile.






Saratani ya Shingo ya kizazi yasemekana kuwa ni saratani ya nne inayoongoza kwa kusababisha vifo vya  wanawake katika nchi zinazoendelea. Repoti ya 2012 ya shirika la afya duniani 'WHO' imesema kati ya matukio 75,000 ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Saratani ya tezi dume ni hatari

 Pamoja na maelezo ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa juzi juu ya ugonjwa wa saratani ya tezi dume mara baada ya kurejea nchini kutoka Marekani alikotibiwa, maswali kuhusu ugonjwa huo bado ni mengi na hivyo kuhitaji ufafanuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatari ya saratani ya kibofu cha mkojo

>Si jambo geni kwa watu wanaoishi maeneo ya Kanda ya Ziwa kuwa na tatizo la kukojoa damu. Wataalamu wa afya wanaeleza hali hiyo kuwa inatokana na maambukizi ya ugonjwa wa kichocho.

 

11 years ago

GPL

WANYWA SODA WANA HATARI KUBWA YA KUPATWA SARATANI!

INAKADIRIWA kiasi cha watu milioni 1.6 watapatwa na ugonjwa wa saratani mwaka huu nchini Marekani na inakadiriwa kuwa kati ya hao, watu laki 5 watapoteza maisha kutokana na ugonjwa huo hatari. Pia kiasi cha watu laki 6 hufariki kwa ugonjwa wa moyo nchini humo kila mwaka. Licha ya maendeleo ya kisayansi yaliyopatikana kwa nusu karne iliyopita, lakini makampuni ya kimagharibi yanayotengeneza dawa za binadamu, yameshindwa kuvumbua...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?

>Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambo mbalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi na saratani hii ya ngozi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati teule za bunge ziwe na wigo mpana

Kamati teule za Bunge, zimekuwa zikiundwa na wabunge wenyewe hali inayoelezwa kusababisha malalamiko ya kulindana na kukomoana yanayofanywa na wajumbe ambao ni wanasiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani