UNGANA NA MWANDISHI SIMON KIVAMWO KUPAMBANA NA SARATANI YA UTUMBO
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Vijana kuathirika na saratani ya utumbo
Saratani ya utumbo miongoni mwa watu walio na umri chini ya mika 34 inatarijiwa kuongezeka maradufu miaka kumi na tano ijayo.
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Ijue hatari ya saratani ya utumbo mpana
Saratani ni mojawapo ya magonjwa ambayo hayachagui tajiri wala maskini.
Ugonjwa huu ndiyo uliomsababishia kifo mtu tajiri na mwenye akili nyingi; huyu ni mgunduzi wa mifumo ya simu za Iphone, Steve Jobs.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Pombe, sigara, chumvi chanzo cha saratani ya utumbo
>Maradhi ya saratani yameendelea kushika kasi duniani kote na kusababisha taharuki kwa watu maskini na hata matajiri. Saratani huweza kuathiri sehemu yeyote ya mwili wa binadamu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JKJTQG9r6cQ/VEUs3yCr0jI/AAAAAAAAEvs/zGqNoTti0S0/s72-c/download.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATUNUKIWA KWA JUHUDI ZAKE ZA KUPAMBANA NA SARATANI YA MATITI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JKJTQG9r6cQ/VEUs3yCr0jI/AAAAAAAAEvs/zGqNoTti0S0/s1600/download.jpg)
Mama Salma Kikwete Jumamosi Tarehe 18. 2014 alitunukiwa tuzo ya juhudi zake anazozifanya za kupambana na Saratani ya Matiti. Tuzo hiyo ilitolewa na taasisi ya African Women's Cancer Awareness Assocition kwenye hafla ya Gala Dinner iliyofanyika kwenye hoteli ya Omni Shoreham Hotel iyopo Washington DC.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tX2i1NdGBA8/VEUqyPLc1AI/AAAAAAAAEuA/0eKwMZUinxk/s1600/20141018_223414.jpg)
Balozi Liberata Mulamula Akikabidhiwa Tuzo hiyo kwa Niaba ya Mama Salma Kikwete na Rais Wa African Women's Cancer Association Ms. Ify Anne Nwabukwu, RN, BSN
![](http://2.bp.blogspot.com/-MqZC0-_kcHk/VEUqyAF76EI/AAAAAAAAEuI/n03gLaPCwv0/s1600/20141018_223419.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2ieU-5jqghzokC1QbnkdnZAhI2ZniqdvrVxTw82AScC3-KdUGWSuQzK0W0pQ0Rh46JkAMr*IKRPd9o2XgW4zvKi/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
KALETE UTUMBO WA MBU MJAMZITO!
Kuna kitu kimethibitishwa kisayansi wiki hii, kuwa Wabongo ndiyo namba wani kwa ushirikina Afrika nzima. Yaani hata Wanaijeria na muvi zao tunazoziona kumbe hakuna kitu, sisi ndiyo mabingwa. Mi sibishi, kwani wiki iliyopita tu nililazimika kutumia mbinu hizo kumpata mdada mmoja ambaye alikuwa akihangaisha akili yangu sana tangu aanze kazi ofisini kwetu. Siku hiyo bosi kafungua mlango wa chumba cha ofisi yetu, akaingia na binti...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3UelzWjD6V9VyVAreM1haznii2c*GChPmUIVF8I*tQQVPDL3ufvRv9MvMMZvPq2Hfv0NVKcpIvnwM-hyQov9iYD/DENTI.gif?width=650)
DENTI ACHINJWA, ATOLEWA UTUMBO!
Inatisha! Kijana anayedaiwa ni denti wa sekondari aliyetajwa kwa jina la Manka Omari (19), mkazi wa Golani-Kimara jijini Dar, anadaiwa kuuawa kikatili kwa kuchinjwa na kutolewa utumbo na watu wenye hasira kali akituhumiwa kupora simu kutoka kwa mtu. Marehemu Manka Omari enzi za uhai wake. Tukio hilo lililozizima maeneo hayo lilitokea usiku wa manane wa kuamkia Agosti 31, mwaka huu ambapo awali inaelezwa kuwa Manka alipoteza simu...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Sakata la pacha aliyetoka utumbo
Suala la matibabu ya mtoto mmoja kati ya pacha waliotenganishwa nchini India baada ya kuzaliwa wakiwa wameungana, limechukua sura mpya baada ya mganga mkuu wa Wilaya ya Kyela, Festo Dugange kusema hajawahi kusikia wala kumwona mtoto aliyetoka utumbo kukataliwa kutibiwa hospitalini kwake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania