MAZOEZI YA SIMBA SC KWENYE UWANJA WA NANGWANDA, MTWARA
Kocha wa Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiongoza kikosi chake katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijao, mjini Mtwara, wakijifua kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Ndanda. Umati wa mashabiki wakishuhudia mazoezi ya kikosi cha Simba jana kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona huko Mtwara, wakijiandaa na mchezo wa leo, dhidi ya Ndanda.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Huu ni...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso …
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu hatma ya aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho kuendelea au kutoendelea kukiknoa kikosi hicho kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu, December 17 uongozi wa Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha huyo. Jose Mourinho alifutwa kazi baada ya kuongoza […]
The post Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso … appeared first on...
11 years ago
MichuziMtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
11 years ago
MichuziUWANJA WA NDEGE MTWARA KUIMARISHWA ZAIDI
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
Kikosi cha timu ya Polisi Zanzibar kilichokubali kipigo cha bao 2--0 kutoka kwa timu ya Simba wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
10 years ago
GPLMAZOEZI YA SIMBA ZANZBAR USPIME
11 years ago
GPLTambwe avuruga mazoezi Simba SC
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10