UWANJA WA NDEGE MTWARA KUIMARISHWA ZAIDI
Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara kwa ajili ya kujionea maendeleo ya uwanja huo.
Mmoja wa viongozi wa Timu Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (aliyevaa fulana nyeusi) akihoji uimara wa sehemu ya kutulia ndege wakati walipofanya ziara ya kujionea maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Mtwara.
Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mtwara, Mhandisi Mugasa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers23 Dec
KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-eMYDVtXF45s/Vnod9WQt3XI/AAAAAAAAY5w/cJtUNt5blNI/s640/IMG_1887%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uLwF-i9kr7E/VnoeH8NZvOI/AAAAAAAAY6E/pKSl8jRrCIk/s640/IMG_2169%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
Na Dixon...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s72-c/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
KADCO YAOKOA ZAIDI YA BILIONI 2 UWANJA WA NDEGE WA KIA NDANI YA WIKI MOJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s72-c/unnamed+(27).jpg)
Mtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s1600/unnamed+(27).jpg)
Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Huu ni...
10 years ago
Habarileo26 Apr
Taasisi za Muungano kuimarishwa zaidi-JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano, itaendelea kuimarisha na kuzijengea uwezo taasisi zote za Muungano, kwa lengo la kutekeleza majukumu yake vizuri ya kuwatumikia wananchi wa pande zote mbili.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iCGf4QxfWQk/Vl2AkT-en2I/AAAAAAAIJeQ/9_U9wAn22Og/s72-c/TBIIB.jpg)
WATENDAJI WA MASHIRIKA YA NDEGE WATAKA BARABARA YA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE IPANULIWE
Rai hiyo imetolewa jana na watendaji wa mashirika 19 ya ndege yanayoendesha shughuli zake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) walipozuru ujenzi TB III ikiwa ni moja ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vovp4T1uHu8/Xt-dmTYiB4I/AAAAAAALtMo/x53f2-IE67E3xD-DYST1WirLxBsKGgTpwCLcBGAsYHQ/s72-c/290.jpg)
UJENZI MRADI MKUBWA ENEO LA MAEGESHO YA NDEGE UWANJA WA NDEGE WAPAMBA MOTO ZANZIBAR
Harakati za umwagaji wa zege katika sehemu za kupakia na kushukia abiria ziko katika hatua nzuri chini ya wahandisi wa kampuni ya kimataifa ya CRJ kutoka nchini China wakisaidiwa na wahandisi na washauri wazalendo waliobobea kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salam.
Makamu wa Pili wa...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA KWA KUSHIRIKIANA NA (TAHA) AONGOZA WADAU WA HORTICULTURE MAPOKEZI YA NDEGE YA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO