MAZOEZI YA SIMBA ZANZBAR USPIME
Wachezaji wa Simba SC, wakijifua ndani ya Uwanja wa Chuo cha Kislamu Jukwani mjini Zanzibar, kuelekea mchezo wao dhidi ya Yanga SC, unaotarajiwa kuchezwa Machi 8 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Wachezaji wa Simba wakiendelea na mazoezi yao ndani ya Uwanja wa Jukwani mjini…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTambwe avuruga mazoezi Simba SC
Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto).
Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, jana alikuwa kituko katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika katika Gym ya Silas iliyopo Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi hayo, Tambwe alikuwa kituko kutokana na muda mwingi kufanya makosa kwa kwenda kinyume na maelekezo ya kiongozi wao, Silas Bungaca...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6iG9-Zi4U-jApsGatM-IO5ITf*kA-IhWVWc-6aHvz3Gka1t0bQWPNx*hgbCak5rnoLGNePp0CXUyYor4S116Vi/1h.jpg?width=650)
Lowassa atibua mazoezi Simba SC
Aliyekuwa mgombea mtarajiwa wa urais nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa. Na Omary Mdose, Lushoto
BAADA ya aliyekuwa mgombea mtarajiwa wa urais nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa jina lake kukatwa kwenye nafasi hiyo, hali ilibadilika kwenye mazoezi ya Simba yaliyofanyika juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa Chuo cha Magamba, Lushoto, Tanga.… ...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Kagera Sugar yaiandalia Simba mazoezi rasmi
Kagera Sugar inaanza mazoezi yake kesho kujiandaa na Ligi Kuu, lakini imewaambia Simba kuwa itawasambaratisha katika mchezo baina yao.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Baba Ubaya aanza mazoezi mepesi Simba
Beki wa kushoto wa kutumainiwa wa Simba, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ ameanza mazoezi na timu yake ingawa daktari wa timu hiyo amemzuia kucheza mechi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFw-6BWJoM6al8LVzcM40oQ7ZxWD36sL9XPvo-6FD29sUlHCnqwo3U64rA62VHEbe-WGJAX-BnDQsp9aRrHQQ3b8/2.jpg?width=750)
MAZOEZI YA SIMBA SC KWENYE UWANJA WA NANGWANDA, MTWARA
Kocha wa Simba, Mserbia Goran Kopunovic akiongoza kikosi chake katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika jana kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijao, mjini Mtwara, wakijifua kuelekea mchezo wa leo dhidi ya Ndanda. Umati wa mashabiki wakishuhudia mazoezi ya kikosi cha Simba jana kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona huko Mtwara, wakijiandaa na mchezo wa leo, dhidi ya Ndanda.… ...
10 years ago
GPLWACHEZAJI WA SIMBA WAKIWA KATIKA MAZOEZI JIJINI TANGA
Kocha wa Simba, Goran Kopunovic (mwenye mpira) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake katika mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na mchezo wa leo dhidi ya Coastal union. Kiungo mshambuliaji wa Simba, Emannuel Okwi (katikati) akijaribu kumtoka kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude na beki, Hassani Kessy…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoKolNreH1RLmST5btDchIn3qkveKpbkvyxdelXULavVoNhuhRkp8IPhhT34Th1rsQHqUbXa7CUzO4N8N2YSAAD/logasian.gif?width=650)
Logarusic avunja mazoezi Simba, aifuata Yanga Taifa
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic amelazimika kubadili ratiba ya mazoezi ya kikosi chake, kikubwa ni kuifuata Yanga itakayovaana na KMKM kesho Jumamosi. Akizungumza na Championi Ijumaa, Logarusic, raia wa Croatia, amesema atakuwepo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, kuiangalia Yanga itakapokuwa ikiumana na KMKM ya Zanzibar katika mchezo huo wa kirafiki ambapo...
10 years ago
GPL10 years ago
MichuziWACHEZAJI WA SIMBA KAMILI YAENDA ZANZIBAR KUWEKA KAMBI YA MAZOEZI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania