SIMBA YAPIGA MAZOEZI YA NGUVU IKIJIANDAA KWA LIGI KUU
Wachezaji…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara
9 years ago
Habarileo06 Sep
Azam yaelekeza nguvu Ligi Kuu
KLABU bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC wameahirisha mechi yao ya kirafiki dhidi ya Ruvu Shooting na sasa macho yao yanatazama kutulia na kujipanga kwa ajili ya maandalizi ya ligi.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Simba moto Ligi Kuu
*Yaiua Kagera, Kiiza akipiga ‘hat trick’, waionyeshea Yanga alama ya saa
*Azam, Mtibwa Sugar nazo zaendeleza dozi, Coastal Union mambo magumu
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeonekana kuwa moto wa kuotea mbali kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya kupata ushindi wa tatu mfululizo kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Simba kabla ya kuingia kwenye mchezo huo iliweza kuzichapa ugenini timu za Tanga, African Sports bao 1-0...
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Simba na Azam kupepetana ligi kuu
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
10 years ago
Mwananchi03 May
LIGI KUU: Azam, Simba kama fainali