Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba moto Ligi Kuu

JO6A2301*Yaiua Kagera, Kiiza akipiga ‘hat trick’, waionyeshea Yanga alama ya saa

*Azam, Mtibwa Sugar nazo zaendeleza dozi, Coastal Union mambo magumu

 

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imeonekana kuwa moto wa kuotea mbali kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya kupata ushindi wa tatu mfululizo kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Simba kabla ya kuingia kwenye mchezo huo iliweza kuzichapa ugenini timu za Tanga, African Sports bao 1-0...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?

Ukiwa shabiki wa Simba, hakuna kitu kilichoumiza kama kumuona nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akikabidhiwa taji la 24 la ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Uwe mbele ya televisheni ya Azam TV, au kama ulikuwa uwanjani, ilikuwa picha inayoumiza sana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi Kuu England, viwanja kuwaka moto

Viwanja mbalimbali vya soka vinatimua vumbi ligi kuu ya England Jumamosi na Jumapili

 

11 years ago

BBCSwahili

Ligi Kuu England yazidi kupamba moto

Timu za Chelsea, Arsenal, Manchester City, Liverpool na Manchester United zapata ushindi mwishoni mwa wiki

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu ya England viwanja kuwaka moto

Katika ligi kuu ya England mechi 12 zimechezwa usiku ,ambapo Tottenham wamewabamiza bila huruma Asteras Tripolis kwa magoli 5 -1.

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba na Azam kupepetana ligi kuu

Baada ya Yanga kuchanja mbuga kuelekea ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara, sasa vita ni ya Simba na mabingwa watetezi, Azam FC.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Kagera Sugar, ni wakati wa kusaka pepo au moto

Miezi 15 iliyopita, klabu ya Kagera Sugar yenye makazi yake katika mkoa anaotoka Rais wa TFF, Jamal Malinzi ilishika nafasi ya tano ikiwa na pointi 38. Pia,  miezi miwili iliyopita imemaliza nafasi ya sita ikiwa ikiwa na pointi 32.

 

9 years ago

Habarileo

Kipa Simba achimba mkwara Ligi Kuu

KIPA wa kimataifa wa Simba, Vicent Angban, amesema kama ataendelea kupangwa kuidakia timu hiyo kwenye mechi za Ligi Kuu ya Tanzania bara ana uhakika wa kubeba tuzo ya kipa bora msimu huu kwa kua hajaona mshambuliaji wa kumhofia.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU: Simba yaipiga ‘mkono’ Prisons

>Ushindi mnono wa mabao  5-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya kwenye Ligi Kuu umeipa faraja Simba na pengine utazima vurugu zilizokuwa zikihisiwa kutokea  kwenye mkutano mkuu wa wanachama leo kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi, Oysterbay Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU: Azam, Simba kama fainali

>Ni vita ya kupanda ndege. Hilo, pengine ndilo jina  la pambano la leo baina ya Simba na Azam kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani