Simba moto Ligi Kuu
*Yaiua Kagera, Kiiza akipiga ‘hat trick’, waionyeshea Yanga alama ya saa
*Azam, Mtibwa Sugar nazo zaendeleza dozi, Coastal Union mambo magumu
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeonekana kuwa moto wa kuotea mbali kwenye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), baada ya kupata ushindi wa tatu mfululizo kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 3-1 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Simba kabla ya kuingia kwenye mchezo huo iliweza kuzichapa ugenini timu za Tanga, African Sports bao 1-0...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Ligi Kuu England, viwanja kuwaka moto
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Ligi Kuu England yazidi kupamba moto
10 years ago
BBCSwahili24 Oct
Ligi kuu ya England viwanja kuwaka moto
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Simba na Azam kupepetana ligi kuu
9 years ago
Mwananchi03 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Kagera Sugar, ni wakati wa kusaka pepo au moto
9 years ago
Habarileo08 Nov
Kipa Simba achimba mkwara Ligi Kuu
KIPA wa kimataifa wa Simba, Vicent Angban, amesema kama ataendelea kupangwa kuidakia timu hiyo kwenye mechi za Ligi Kuu ya Tanzania bara ana uhakika wa kubeba tuzo ya kipa bora msimu huu kwa kua hajaona mshambuliaji wa kumhofia.
10 years ago
Mwananchi01 Mar
LIGI KUU: Simba yaipiga ‘mkono’ Prisons
10 years ago
Mwananchi03 May
LIGI KUU: Azam, Simba kama fainali