TAARIFA KWA UMMA: TOLEO LA SARAFU YA SHILINGI MIA TANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yc0YRqadUvo/VAxGdvAvicI/AAAAAAAGg78/0wQ4i11_y_Y/s72-c/IMG-20140907-WA0001.jpg)
Benki Kuu ya Tanzania ndiyo chombo chenye jukumu la kutoa sarafu na noti halali (legal tender) zinazotumika nchini. Katika kutekeleza jukumu hili Benki Kuu hutengeneza noti na sarafu zenye uwiano mzuri wa thamani (denominations) unaozingatia uwezekano wa zile zenye thamani kubwa kuweza kugawika katika zile zenye thamani ndogo ndogo.
Hii hulenga kurahisisha upatikanaji wa chenji na uwezekano wa wahitaji wa viwango mbalimbali vya bidhaa na huduma kupata katika mafungu yatakayokidhi mahitaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Benki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhDKYoc*XUJtbZsd1FKG2AxVLZSm5qITn*OMi8*k1EfYTRJkc2iBcgj0r9aMUTGfwG2rZ*4Ja-uiS8ejmTfxfyQ/500.jpg)
BENKI KUU YA TANZANIA IMETOA TOLEO JIPYA LA SARAFU YA SHILINGI 500
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?
TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh. 500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
11 years ago
MichuziAIRTEL yakabidhi shilingi million Tano kwa wanawake kwa ajili ya Tuzo ya Mwanamakuka 2014
Afisa uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (kushoto) akimkabithi mfano wa hundimwenyekiti na Mratibu wa Mradi wa The Unity of Women friends Maryam Shamo wakati wa halfa ya Tuzo za Mwanamakuka 2014 ambapo Airtel Tanzania ni moja kati ya Wadhamini wa tuzo hizo, Bi Leil Mwambungu aliibuka na kutangazwa mshindi wa mwanamakuka 2014. Akishuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Bank ya Wanawake Tanzania Bi Margreth Chacha (wakwanza kulia), Hafla ya mwanamakuka ilifanyika jana katika ukumbi wa Escape 1...
10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
07/08/201511/08/20152Pwani na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kLHUD_9IwnQ/VbClMoPMGlI/AAAAAAAHrQw/KjdyDSyZfOE/s72-c/fbs.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA TAARIFA ZISIZO NA UKWELI DHIDI YA WASHIRIKI WA TMT 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kLHUD_9IwnQ/VbClMoPMGlI/AAAAAAAHrQw/KjdyDSyZfOE/s1600/fbs.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
10 years ago
Michuzi