Benki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Mkurugenzi Huduma za Kibenki kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Emmanuel Boaz(wa kwanza kulia) akiwaeleza waandishi wa habari(Hawapo Pichani) sababu zilizopelekea kutoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500, ambapo alisema noti ya shilingi 500 inatumika zaidi kwenye manunuzi ya kawaida ya kila siku hivyo hupita kwenye mikono ya watu wengi na kuchakaa haraka,noti hizi hukaa katika mzunguko kwa muda mrefu bila kurejeshwa kwenye mabenki na sarafu hukaa kwenye mzunguko kwa muda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhDKYoc*XUJtbZsd1FKG2AxVLZSm5qITn*OMi8*k1EfYTRJkc2iBcgj0r9aMUTGfwG2rZ*4Ja-uiS8ejmTfxfyQ/500.jpg)
BENKI KUU YA TANZANIA IMETOA TOLEO JIPYA LA SARAFU YA SHILINGI 500
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s72-c/IMG_3153.jpg)
NEWS ALERT: BENKI KUU YAKANUSHA UVUMI POTOFU KWAMBA SARAFU YA SHILINGI 500 INA MADINI NA NI MALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s1600/IMG_3153.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XdC7vAYf4vk/VUGmxvdFw5I/AAAAAAABM5M/gWLzjQVA7Js/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA UPOTOSHAJI SARAFU YA SH. 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-XdC7vAYf4vk/VUGmxvdFw5I/AAAAAAABM5M/gWLzjQVA7Js/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0pKW88YA5wQ/VUGmxy0FnmI/AAAAAAABM5Q/MGG37tRSwYw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.32.22%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA KUHUSU upotoshaji unaoendelea juu ya Sarafu ya sh. 500/=
![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
Pia ndivyo ilivyoelezwa wakati wa uzinduzi wa sarafu hii mnamo mwezi Septemba mwaka jana kabla haijaingizwa katika mzunguko mwezi Oktoba 2014.
Bw. Kobello amesema hadi sasa sarafu zenye thamani ya sh. 1,162,000,000/- zimekwishasambazwa kote nchini na kwamba kuna kiasi cha kutosha cha sarafu hiyo endapo itahitajika.
“Hakuna...
11 years ago
Michuzi15 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yc0YRqadUvo/VAxGdvAvicI/AAAAAAAGg78/0wQ4i11_y_Y/s72-c/IMG-20140907-WA0001.jpg)
TAARIFA KWA UMMA: TOLEO LA SARAFU YA SHILINGI MIA TANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yc0YRqadUvo/VAxGdvAvicI/AAAAAAAGg78/0wQ4i11_y_Y/s1600/IMG-20140907-WA0001.jpg)
Hii hulenga kurahisisha upatikanaji wa chenji na uwezekano wa wahitaji wa viwango mbalimbali vya bidhaa na huduma kupata katika mafungu yatakayokidhi mahitaji...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?
TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh. 500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...
10 years ago
Mwananchi01 May
THAMANI YA SHILINGI: Mtei aifunda Benki Kuu