NEWS ALERT: BENKI KUU YAKANUSHA UVUMI POTOFU KWAMBA SARAFU YA SHILINGI 500 INA MADINI NA NI MALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s72-c/IMG_3153.jpg)
Benki Kuu imekanusha vikali kwamba sarafu ya shilingi 500 ina madini ndani yake hivyo ni mali inayoweza kutumika kutengenezea vito, kufuatia uvumi potovu ulioenea kila pembe ambao unawafanya wananchi wengine wanunue sarafu hiyo kwa bei mara tano hadi kumi y thamani yake.Akiongea na Globu ya Jamii jijini Dar es salaam leo, Meneja wa vituo vya Utunzaji wa Benki Kuu Bw. Abdul Dollah, amesema kwamba uvumi huo si kweli na kwamba katika sarafu ya shilingi 500 kuna madini machache mno ya nickel...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Benki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhDKYoc*XUJtbZsd1FKG2AxVLZSm5qITn*OMi8*k1EfYTRJkc2iBcgj0r9aMUTGfwG2rZ*4Ja-uiS8ejmTfxfyQ/500.jpg)
BENKI KUU YA TANZANIA IMETOA TOLEO JIPYA LA SARAFU YA SHILINGI 500
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XdC7vAYf4vk/VUGmxvdFw5I/AAAAAAABM5M/gWLzjQVA7Js/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA UPOTOSHAJI SARAFU YA SH. 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-XdC7vAYf4vk/VUGmxvdFw5I/AAAAAAABM5M/gWLzjQVA7Js/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0pKW88YA5wQ/VUGmxy0FnmI/AAAAAAABM5Q/MGG37tRSwYw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.32.22%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
BENKI KUU YATOA TAARIFA KUHUSU upotoshaji unaoendelea juu ya Sarafu ya sh. 500/=
![](http://2.bp.blogspot.com/-cDmxxQu1uFc/VUEI4MUY-2I/AAAAAAAHUJQ/ODVzSkRgigw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-29%2Bat%2B7.31.41%2BPM.png)
Pia ndivyo ilivyoelezwa wakati wa uzinduzi wa sarafu hii mnamo mwezi Septemba mwaka jana kabla haijaingizwa katika mzunguko mwezi Oktoba 2014.
Bw. Kobello amesema hadi sasa sarafu zenye thamani ya sh. 1,162,000,000/- zimekwishasambazwa kote nchini na kwamba kuna kiasi cha kutosha cha sarafu hiyo endapo itahitajika.
“Hakuna...
11 years ago
Michuzi15 Jul
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Sarafu ya 500/- ni kuporomoka kwa shilingi?
TAKRIBANI wiki mbili zimepita tangu sarafu ya sh. 500 zilipoingia kwenye mzunguko wa fedha na kuanza kutumika baada ya mchakato wa kubadilisha fedha hizo kutoka kwenye noti kwenda kwenye sarafu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8EMnpoABT4A/VCE_EWuYWcI/AAAAAAAGlRo/8ATazVO-8ig/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-09-23%2Bat%2B12.32.26%2BPM.png)