BENKI KUU YATOA TAARIFA KUHUSU upotoshaji unaoendelea juu ya Sarafu ya sh. 500/=

Asilimia 94 ya madini katika sarafu ya sh. 500 ni chuma na asilimia 6 ni Nickel, ameeleza Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki katika Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Marcian Kobello.
Pia ndivyo ilivyoelezwa wakati wa uzinduzi wa sarafu hii mnamo mwezi Septemba mwaka jana kabla haijaingizwa katika mzunguko mwezi Oktoba 2014.
Bw. Kobello amesema hadi sasa sarafu zenye thamani ya sh. 1,162,000,000/- zimekwishasambazwa kote nchini na kwamba kuna kiasi cha kutosha cha sarafu hiyo endapo itahitajika.
“Hakuna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
BENKI KUU YATOA TAARIFA UPOTOSHAJI SARAFU YA SH. 500


11 years ago
Michuzi.jpg)
Benki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
.jpg)
11 years ago
GPL
BENKI KUU YA TANZANIA IMETOA TOLEO JIPYA LA SARAFU YA SHILINGI 500
11 years ago
Michuzi15 Jul
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: BENKI KUU YAKANUSHA UVUMI POTOFU KWAMBA SARAFU YA SHILINGI 500 INA MADINI NA NI MALI

11 years ago
MichuziLHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA
10 years ago
Michuzi
10 years ago
CHADEMA Blog
Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015
5 years ago
Michuzi
TAARIFA KUHUSU HUDUMA KWA WATEJA WA BENKI KUU KATIKA KIPINDI HIKI CHA UGONJWA WA COVID-19

Katika kuepuka msongamano, Benki Kuu...