THAMANI YA SHILINGI: Mtei aifunda Benki Kuu
>Gavana wa Kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Edwin Mtei ametoa somo kwa benki hiyo kuinusuru shilingi isiendelee kuporomoka kwa kutumia akiba ya fedha za kigeni ilizonazo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Benki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
![](http://1.bp.blogspot.com/-ztL12frzLXM/VAxLG6MiWMI/AAAAAAAGg8M/Qh7RLu2v52E/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tlB4pKQX5mhDKYoc*XUJtbZsd1FKG2AxVLZSm5qITn*OMi8*k1EfYTRJkc2iBcgj0r9aMUTGfwG2rZ*4Ja-uiS8ejmTfxfyQ/500.jpg)
BENKI KUU YA TANZANIA IMETOA TOLEO JIPYA LA SARAFU YA SHILINGI 500
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s72-c/IMG_3153.jpg)
NEWS ALERT: BENKI KUU YAKANUSHA UVUMI POTOFU KWAMBA SARAFU YA SHILINGI 500 INA MADINI NA NI MALI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cznlhzO89_U/VYlFlTGrEwI/AAAAAAAHiu0/rCsczEKGunQ/s1600/IMG_3153.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Shilingi ya Tanzania yashuka thamani
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Wakerwa shilingi kushuka thamani
10 years ago
StarTV04 May
Chanzo kushuka kwa thamani ya shilingi chabainishwa.
Na Ephrasia Mawalla,
Dar es Salaam.
Waziri Kivuli wa Fedha James Mbatia ameitaka Benki kuu ya Tanzania kuchukua hatua za haraka za kupunguza mzunguko wa Fedha za Kigeni hapa nchini kama njia mojawapo ya kuimarisha shilingi ya Tanzania.
Ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, thamani ya shilingi imeshuka kwa asilimia 20, kiwango ambacho kwa mujibu wa Mbatia ni kikubwa.
Kwa sasa dola moja ni sawa na shilingi 2010 kutoka shilingi 1650.
Mbatia amesema kutokana na kuporomoka haraka kwa...