Wakerwa shilingi kushuka thamani
Wasomi nchini wamezungumzia kuhusu kupanda kwa thamani ya Dola ya Marekani dhidi ya Shilingi ya Tanzania na kusema kunasababishwa na kuongezeka kwa uagizaji wa bidhaa kutoka nje na kusababisha fedha nyingi kutafutwa ili kulipia bidhaa hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV04 May
Chanzo kushuka kwa thamani ya shilingi chabainishwa.
Na Ephrasia Mawalla,
Dar es Salaam.
Waziri Kivuli wa Fedha James Mbatia ameitaka Benki kuu ya Tanzania kuchukua hatua za haraka za kupunguza mzunguko wa Fedha za Kigeni hapa nchini kama njia mojawapo ya kuimarisha shilingi ya Tanzania.
Ndani ya kipindi cha mwezi mmoja, thamani ya shilingi imeshuka kwa asilimia 20, kiwango ambacho kwa mujibu wa Mbatia ni kikubwa.
Kwa sasa dola moja ni sawa na shilingi 2010 kutoka shilingi 1650.
Mbatia amesema kutokana na kuporomoka haraka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Xpj4ZIxcq88/default.jpg)
MCHUMI WA BOT AELEZA SABABU ZA KUSHUKA NA KUPANDA GHAFLA KWA THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Maelezo ya Gavana Prof Benno Ndulu Kuhusu Kushuka kwa Thamani ya Shilingi ya Tanzania kwa Kamati ya Fedha Uchumi na Biashara
![](https://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3534&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 May
KUSHUKA KWA SHILINGI: Bajeti hii ‘changa la macho’ - Wataalamu
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Shilingi ya Tanzania yashuka thamani
10 years ago
Mwananchi01 May
THAMANI YA SHILINGI: Mtei aifunda Benki Kuu
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Kashfa ya IPTL, Uchaguzi Mkuu 2015 vyashusha thamani ya Shilingi
10 years ago
Bongo517 Sep
Diddy anunua na kuhamia kwenye nyumba ya thamani ya shilingi bilioni 66!