Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAZIL 2014: Diego sasa shwari, ang’ara dhidi ya El Salvador

Costa, ambaye anajiandaa kujiunga na Chelsea akitokea Atletico Madrid, hakucheza tangu alipotonesha misuli ya paja katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Messi ang'ara dhidi ya Deportivo

Nyota Lionel Messi wa Barcelona aliifungia timu yake mabao matatu dhidi ya Deportivo La Coruna na kuibuka na ushindi wa 4-0.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rio awatabiria akina Pogba kung’ara Brazil

Ferdinand, ambaye amestaafu kuchezea timu ya taifa, atakuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano hiyo ya mwaka huu inayoanza wiki hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Pitbull ang’ara uzinduzi Kombe la Dunia 2014

Kama uliangalia ufunguzi wa Kombe la Dunia ulipata bahati ya kumwona mwanamuziki Armando Christian Pérez mwenye umri wa miaka 33 ambaye jina lake la jukwaani anaitwa Pitbull, rapa mahiri kutoka nchini Marekani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Mtanzania

Uhuru Kenyatta ang’ara Afrika

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

WASHINGTON, Marekani

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewapiku marais wenzake wa Afrika Mashariki kwa kushika nafasi ya kwanza kwa ufanisi wa kazi, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la Gallup la nchini Marekani.

Utafiti huo ulitolewa jana ambapo licha ya Rais Kenyatta kuwa madarakani kwa kipindi cha mwaka mmoja ameweza kuwapiku wenzake waliodumu madarakani kwa muda mrefu.

Pamoja na Rais Jakaya Kikwete, kuingoza nchi kwa mwaka wa tisa sasa utafiti huo umeshindwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Janet Mbene ang’ara Songwe

DSC_9807

Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Malangali.

DSC_9824

DSC_9711

Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa Songwe, Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za chama cha mapinduzi juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene.

DSC_9771

Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya...

 

11 years ago

Habarileo

Naibu Waziri ang’ara duniani

NAIBU Waziri wa Sheria na Katiba, Angella Kairuki ameteuliwa kuwa miongoni mwa Kundi la Viongozi Vijana Duniani kwa mwaka huu. Kairuki aliteuliwa pamoja na Mwanzilishi na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Bongo5, Luca Nengesti.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtanzania ang’ara Uhuru Marathon

Dar es Salaam. Mwanariadha, Jacqueline Juma alipeperusha vema bendera ya Tanzania jana kwenye mbio za Uhuru Marathon baada ya kutwaa medali ya dhahabu katika nusu marathon (km 21).

 

11 years ago

Mwananchi

Samata ang’ara, Al Ahly chali

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata alifunga bao pekee na kuiongoza TP Mazembe ya DR  Congo kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku mabingwa watetezi Al Ahly wakiaga mashindano kwa kuchapwa 3-2 nyumbani na Al Ahly Benghazi ya Libya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani