Nyota wa ligi ya NBA kucheza Afrika
Wachezaji nyota wa ligi ya NBA wanatarajiwa kucheza barani Afrika katika mchezo wa kwanza mjini Johannesburg
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
GIVEMESPORT21 Mar
NBA News: NBA launches global campaign 'NBA Together' in response to Coronavirus pandemic
NBA News: NBA launches global campaign 'NBA Together' in response to Coronavirus pandemic GIVEMESPORTNBA launches global 'NBA Together' campaign in response to Coronavirus pandemic NBA.comOne man band entertains neighbors during coronavirus pandemic KING 5NBA launches ‘NBA Together’ campaign in response to coronavirus pandemic ClutchPointsAthletes adjust to new life during the coronavirus pandemic CityNews TorontoView Full coverage on Google...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Nyota hawa wana kazi kucheza ‘First XI’ msimu ujao
Septemba 12 mwaka huu, vishindo vya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ilifunguliwa rasmi kwa mechi ya Ngao ya Jamii baina ya Azam na Yanga Jumamosi, Agosti 22 vitaanza kusikika kwenye viwanja mbalimbali nchini.
10 years ago
Bongo517 Jul
Mechi ya kwanza ya NBA kuwahi kuchezwa Afrika kufanyika Aug. 1 Johannesburg
Mechi ya kwanza ya NBA itachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza August 1 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Mechi hiyo itawakutanisha wachezaji wa NBA waliozaliwa Afrika, Team Africa dhidi ya wengine wa Team World. Mchezaji anayechezea Miami Heat, Luol Deng aliyezaliwa Sudan ataiongoza Team Africa. “Ninajivunia sana kuwa sehemu ya mechi ya kwanza ya NBA […]
10 years ago
Habarileo30 Jul
Kijichi kucheza Ligi Kuu Zanzibar
TIMU ya soka ya Kijichi imekuwa miongoni mwa timu zilizopanda daraja, ambazo msimu ujao zitashiriki Ligi Kuu ya Zanzibar baada ya kushinda 2-1 dhidi ya timu ya Idumu.
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Harakati za Zimamoto FC kucheza Ligi Kuu
Licha ya kuwa ni timu ngeni katika soka la Tanzania, moja ya harakati ya timu hii ya soka ya Zimamoto ni kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
Michuzi25 Mar
PAN AFRICA FC NA CHANGANYIKENI FC,KUSAKA NAFASI YA KUCHEZA LIGI YA MABINGWA WA MIKOA
Baada ya kumalizika kwa michuano ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam na timu za FFU na Zakhem kumaliza katika nafasi ya kwanza kwenye makundi yao,kesho 20/03/2015 utapigwa mchezo mmoja wa kusaka nafasi ya kuungana na mabingwa hao kushiriki michuano ya ligi ya mikoa.Mchezo huo wa mtoano utakaopigwa katika uwanja wa Mizinga Kigamboni,utazikutanisha timu za Pan Africa dhidi ya Changanyikeni ambazo zimemaliza katika nafasi ya pili kwenye makundi yao.Kwa mujibu wa kamati ya mashindano ya chama cha...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Nyota Ligi Kuu England kuivaa Stars
 Kiungo nyota wa klabu ya West Bromwich inayoahiriki Ligi Kuu England, Stephan Sessegnon ataiongoza Benin kuikabili Taifa Stars, Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
MSIMU WA 2015/16 : Nyota wa kuwaangalia Ligi Kuu Bara
Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza Jumamosi hii huku wadau wengi wa soka wakitaka kuona ni timu gani itafanya vizuri na kutwaa ubingwa kutokana na maandalizi iliyofanya.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Nyota wa Ligi Kuu wanaojuta kuhama klabu zao
Hakuna binadamu yeyote duniani asiyependa kufanikiwa katika jambo lolote analolifanya ingawa wakati mwingine bahati mbaya hutokea, mtu kushindwa kufanya vyema katika kile alichokipanga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania