Serge Aurier asaini miaka minne Psg
Beki wa kulia wa timu ya taifa Ivory Coast, Serge Aurier,amesaini mkataba wa miaka nne kuitumikia timu ya Psg.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mlinzi Serge Aurier wa I.Coast yuko sawa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKOMd1GX7RU-lKxZGa4EuGsGgAUBNaP1NYBMmDK9PeZkla*c8vCuv-hMHrQ3QdkHXZLsqCu*PV3NHDhrm-ZrsGI/2.jpg)
NGASSA ASAINI MIAKA MINNE NA KLABU YA FREE STATE STARS YA AFRIKA KUSINI
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82648000/jpg/_82648965_aurier.jpg)
Aurier makes PSG switch permanent
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76460000/jpg/_76460672_aurier.jpg)
Aurier makes loan switch to PSG
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmZxeYzDvGD7S57g4KfviwjCdYPq5RzPp31xkXGD3WzZ67aUsfd6mtbTj8GBsStiKRYKMiWzmglJJL9qLoho*mBc/mtoto.jpg?width=650)
NJEMBA YAMBAKA MTOTO WA MIAKA MINNE
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Mtoto wa miaka minne atekwa Mwanza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0laKurIySupi1kUel7qyHuEZj*TKbpANImPnBv7virQ2lJwBRnCNs44kAM1EF6PwZ-ZuAYgf80xJGc26RVFKqC1/PANGONI.jpg?width=650)
AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 42
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kikosi kingine cha askari kikaingizwa ndani ya pango hilo kuhakikisha kama wale watu tuliosema wameuawa, wameuawa kweli. Askari hao waliambiwa kama watakuta maiti zao watoke nazo.
Baada ya mawasilino kufanyika, gari la hospitali likawasili, Waandishi wa habari na wananchi walikuwa wametuzonga wakituhoji maswali lakini polisi waliwaondoa.
Tukapakiwa kwenye gari la hospitali na kupelekwa Hospitali ya Bombo ya jijini Tanga.
SASA ENDELEA…
Wakati tunafikishwa katika...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni – 41
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Kaikush alikuwa amepata hasira,” Faiza aliniambia.
“Ni ile hasira ya kuniacha mimi.”
“Na pia ameona ninatoroshwa.”
Baada ya kuzipita zile maiti nne hatukutembea mwendo mrefu tukaanza kuona mwanga kwa mbali.“Naona tumeukaribia mlango wa pango!” nikamwambia Faiza kwa matumaini. SASA ENDELEA…
“Utakuwa ni ule kule mbele, kuna mwanga.” Faiza akaniambia.
“Sasa tukazane tufike.”
Ingawa tulikuwa tumechoka, tulipogundua kuwa tulikuwa tumeukaribia mlango wa pango hilo...