Madada wa Cambodia wenye miaka 98 na 101, wakutana tena baada ya miaka 47
Madada hao walionana kwa mara ya mwisho mwaka 1973 na kila mmoja alidhani mwenzake alikufa chini ya utawala wa Khmer Rouge.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Bibi Pelagia mwenye umri wa miaka 101
Kutokana na mfumo wa maisha tunayoishi, vyakula tunavyokula na mabadiliko ya tabia, maisha ya mwanadamu kuishi duniani ni mafupi sana ukilinganishwa na maisha ya zamani walivyoishi wazazi wetu.
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_7558.jpg)
BAADA YA KULITUMIKIA MIAKA 10 JIMBO LA SINGIDA MJINI, MO DEWJI AAGA RASMI, ASEMA HATAGOMBEA TENA
Mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya CCM, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake ikiwa ni ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena Ubunge jimboni humo wakati wa Mkutano mkubwa wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miaka 10 ya kuwatumikia wananchi wa Singida, mkutano uliofanyika katika viwanja vya People's Club. Umati ulifurika. Mkazi wa Singida mjini akimwomba Mbunge wake...
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia
Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Nigeria 1-0 Bosnia baada ya miaka 16
Ushindi wa kwanza katika miaka 16 umefufua kampeini ya Nigeria katika kombe la dunia
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Ashuka jukwaani baada ya miaka 53
Shujaa wa muziki wa dansi nchini Muhidin Maalimu Gurumo ameliaga rasmi jukwaa la muziki huo kwa kufanyiwa tamasha maalumu la kumuaga, baada ya kudumu kwa takriban miaka 53 akiimba.
11 years ago
BBCSwahili22 May
Apatikana miaka 10 baada kutekwa nyara
Mwanamke wa miaka 25 Marekani, aliyepotea miaka 10 iliyopita, amewaambia polisi alilazimika kuolewa na kuzaa na aliyemteka nyara.
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Gor yatinga fainali baada ya miaka 30
Gor Mahia ya Kenya imetinga fainali ya kwanza ya Cecafa baada ya miaka 30
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Marekani yapandisha riba baada ya miaka 7
Benki Kuu ya Marekani imepandisha kiwango kikuu cha riba kwa alama ya robo ya asilimia tangu mtikisiko wa uchumi nchini humo mwaka 2008.
10 years ago
Habarileo03 Sep
Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa
KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania