Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madada wa Cambodia wenye miaka 98 na 101, wakutana tena baada ya miaka 47

Madada hao walionana kwa mara ya mwisho mwaka 1973 na kila mmoja alidhani mwenzake alikufa chini ya utawala wa Khmer Rouge.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bibi Pelagia mwenye umri wa miaka 101

Kutokana na mfumo wa maisha tunayoishi, vyakula tunavyokula na mabadiliko ya tabia, maisha ya mwanadamu kuishi duniani ni mafupi sana ukilinganishwa na maisha ya zamani walivyoishi wazazi wetu.

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KULITUMIKIA MIAKA 10 JIMBO LA SINGIDA MJINI, MO DEWJI AAGA RASMI, ASEMA HATAGOMBEA TENA

Mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya CCM, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake ikiwa ni ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena Ubunge jimboni humo wakati wa Mkutano mkubwa wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miaka 10 ya kuwatumikia wananchi wa Singida, mkutano uliofanyika katika viwanja vya People's Club. Umati ulifurika. Mkazi wa Singida mjini akimwomba Mbunge wake...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia

Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria 1-0 Bosnia baada ya miaka 16

Ushindi wa kwanza katika miaka 16 umefufua kampeini ya Nigeria katika kombe la dunia

 

11 years ago

Mwananchi

Ashuka jukwaani baada ya miaka 53

Shujaa wa muziki wa dansi nchini Muhidin Maalimu Gurumo ameliaga rasmi jukwaa la muziki huo kwa kufanyiwa tamasha maalumu la kumuaga, baada ya kudumu kwa takriban miaka 53 akiimba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Apatikana miaka 10 baada kutekwa nyara

Mwanamke wa miaka 25 Marekani, aliyepotea miaka 10 iliyopita, amewaambia polisi alilazimika kuolewa na kuzaa na aliyemteka nyara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gor yatinga fainali baada ya miaka 30

Gor Mahia ya Kenya imetinga fainali ya kwanza ya Cecafa baada ya miaka 30

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yapandisha riba baada ya miaka 7

Benki Kuu ya Marekani imepandisha kiwango kikuu cha riba kwa alama ya robo ya asilimia tangu mtikisiko wa uchumi nchini humo mwaka 2008.

 

10 years ago

Habarileo

Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa

KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani