Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yapandisha riba baada ya miaka 7

Benki Kuu ya Marekani imepandisha kiwango kikuu cha riba kwa alama ya robo ya asilimia tangu mtikisiko wa uchumi nchini humo mwaka 2008.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dola yapandisha kiwango cha riba benki

Dar es Salaam.  Naibu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki M, Jacqueline Woiso amesema mfumuko wa bei, kuporomoka kwa shilingi na kupanda kwa thamani ya Dola kumechangia kwa kiasi kikubwa kupandisha riba katika benki mbalimbali nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Madada wa Cambodia wenye miaka 98 na 101, wakutana tena baada ya miaka 47

Madada hao walionana kwa mara ya mwisho mwaka 1973 na kila mmoja alidhani mwenzake alikufa chini ya utawala wa Khmer Rouge.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yapandisha umeme

UKOSEFU wa mvua umetajwa kuwa ni sababu inayochangia kupanda kwa gharama za umeme nchini. Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura-CCC), Profesa Jamidu...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yapandisha joto la uspika

Wakati Kamati Kuu ya CCM ikikutana leo jijini Dar es Salaam kupitisha majina matatu kati ya 23 ya wanaowania uspika, joto la kuwania nafasi hiyo linazidi kupanda .

 

11 years ago

Mwananchi

Tanesco yapandisha bei ya umeme

>Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za umeme ambazo zimepanda kwa kuzingatia makundi tofauti.

 

9 years ago

Mwananchi

Dawasco yapandisha bei ya maji

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), limeanza rasmi kutumia bei mpya za ankara za maji, ikiwa ni siku chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (Ewura) kupitisha mapendekezo ya kupandisha bei kama walivyoomba.

 

11 years ago

Mwananchi

Ajinyonga baada ya kuaga anakwenda Marekani

>Mkazi wa Kisukuru jijini Dar es Salaam, Irene Ibrahim anadaiwa kujinyonga hadi kufa, ikiwa saa chache kupita  tangu aage kuwa anasafiri kwenda Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

176 wapotea baada ya maporomoko Marekani

Maafisa wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya ukuta wa matope kuporomoka Jumamosi, 176 hawajulikani waliko

 

11 years ago

Mwananchi

Ashuka jukwaani baada ya miaka 53

Shujaa wa muziki wa dansi nchini Muhidin Maalimu Gurumo ameliaga rasmi jukwaa la muziki huo kwa kufanyiwa tamasha maalumu la kumuaga, baada ya kudumu kwa takriban miaka 53 akiimba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani