Dola yapandisha kiwango cha riba benki
Dar es Salaam. Naibu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki M, Jacqueline Woiso amesema mfumuko wa bei, kuporomoka kwa shilingi na kupanda kwa thamani ya Dola kumechangia kwa kiasi kikubwa kupandisha riba katika benki mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Marekani yapandisha riba baada ya miaka 7
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/NGASSA-MRISHO.jpg)
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
11 years ago
Habarileo22 May
Makinda- Benki zipunguze riba
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema ili sekta ya benki itoe mchango wake kikamilifu katika kukuza uchumi wa Taifa, ni muhimu kwa benki hizo kurahisisha masharti ya mikopo pamoja na kupunguza viwango vya riba ambavyo kwa sasa viko juu mno.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Benki yapunguza riba mikopo ya nyumba
BENKI ya Afrika Tanzania imetoa ofa ya miezi sita ya punguzo la riba ya mkopo wa nyumba kutoka asilimia 18 hadi 16, ili kuwawezesha wananchi wengi kumiliki nyumba. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Prof Tibaijuka alia na riba kubwa za benki
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Wananchi wafurahia riba za mikopo benki kupunguzwa
NA RACHEL KYALA
WANANCHI mbalimbali jijini Dar es Salaam wametoa maoni yao kuhusu bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, iliyosomwa bungeni mjini Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya.
Wakizungumza na Uhuru kwa nyakati tofauti mjini Dar es Salaam jana, wananchi hao wameeleza kufurahishwa na bajeti hiyo, hususan katika masuala ya benki kutakiwa kupunguza riba na kufutwa kwa ushuru katika uhaulishaji wa pesa.
Baadhi ya wananchi wamesema wamefurahishwa na uamuzi wa serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l7QQDHEJEPc/XtUtLb1znBI/AAAAAAALsPE/KadnRm2RTNIBKc8_L_TC57llidvO1qXeACLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI0141.jpg)
Wafanyakazi sasa kujiachia na riba hadi asilimia 14 kutoka Benki ya CRDB
![](https://1.bp.blogspot.com/-l7QQDHEJEPc/XtUtLb1znBI/AAAAAAALsPE/KadnRm2RTNIBKc8_L_TC57llidvO1qXeACLcBGAsYHQ/s640/OTMI0141.jpg)
===== ===== =====
Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
10 years ago
MichuziBENKI YA BARCLAYS YAZINDUA KADI YA ATM DOLA