Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda- Benki zipunguze riba

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema ili sekta ya benki itoe mchango wake kikamilifu katika kukuza uchumi wa Taifa, ni muhimu kwa benki hizo kurahisisha masharti ya mikopo pamoja na kupunguza viwango vya riba ambavyo kwa sasa viko juu mno.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Benki yapunguza riba mikopo ya nyumba

BENKI ya Afrika Tanzania imetoa ofa ya miezi sita ya punguzo la riba ya mkopo wa nyumba kutoka asilimia 18 hadi 16, ili kuwawezesha wananchi wengi kumiliki nyumba. Akizungumza na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wananchi wafurahia riba za mikopo benki kupunguzwa


NA RACHEL KYALA
WANANCHI mbalimbali jijini Dar es Salaam wametoa maoni yao kuhusu bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, iliyosomwa bungeni mjini Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya.
Wakizungumza na Uhuru kwa nyakati tofauti mjini Dar es Salaam jana, wananchi hao wameeleza kufurahishwa na bajeti hiyo, hususan katika masuala ya benki kutakiwa kupunguza riba na kufutwa kwa ushuru katika uhaulishaji wa pesa.
Baadhi ya wananchi wamesema wamefurahishwa na uamuzi wa serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Dola yapandisha kiwango cha riba benki

Dar es Salaam.  Naibu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki M, Jacqueline Woiso amesema mfumuko wa bei, kuporomoka kwa shilingi na kupanda kwa thamani ya Dola kumechangia kwa kiasi kikubwa kupandisha riba katika benki mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Prof Tibaijuka alia na riba kubwa za benki

>Riba kubwa za beki ni changamoto kubwa inayoikabili sekta ya nyumba nchini hali ambayo inasababisha nyumba zinazokopeshwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), zionekane zina bei kubwa.

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi sasa kujiachia na riba hadi asilimia 14 kutoka Benki ya CRDB

Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya "Jiachie Utakavyo" ambapo wafanyakazi wa taasisi za umma na binafsi wataanza kufurahia riba ya hadi asilimia 14 huku wakiwa na uhuru wakuchagua muda wa kurejesha mkopo. Wengine pichani ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Stephen Adili (Wakwanza kushoto) na Meneja Mwanadamizi Mikopo ya Wafanyakazi, Farida Hamza

=====   =====   =====

Benki ya CRDB imezindua kampeni maalumu...

 

11 years ago

Habarileo

‘Msitoze riba mikopo ya matrekta’

SERIKALI imeziagiza kampuni zinazokopesha vifaa vya kilimo yakiwemo matrekta madogo (power tiller) na makubwa kwa wakulima, kuacha mara moja kutoza riba kwa mikopo kwa vile vifaa hivyo vimefutiwa kodi. Katika hatua nyingine, serikali nayo imeombwa kuondoa ushuru wa kodi kwa matela ya matrekta, hususani ya power tiller ili kuwapunguzia gharama za ununuzi wakulima hatua itakayoharakisha mipango ya kuingia kwenye kilimo cha kisasa.

 

11 years ago

Michuzi

Taasisi za kifedha zashauri kupunguza riba

Dkt Mary Nagu Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji akiongea kwenye kongamano la uwekezaji kwa mikoa ya ukanda wa ziwa Tanganyika lililofanyika mjini sumbawanga mwishoni mwa wiki. hawapo pichani washiriki wa kongamano hilo Washiriki wa kongamano la uwekezaji ambao ni wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi wakifuatilia kwa umakini mjadala wa kongamano hilo kwenye uwanja wa Nelsoni Mandela Mjini Sumbanga Mkoani Rukwa.
Na Kibada Kibada Rukwa.
Waziri wa Uwekezaji na uwezeshaji Dkt Mary Nagu ...

 

9 years ago

Habarileo

Waziri Mpango kukabili riba kubwa

BAADA ya kushughulikia wakwepa kodi ndani ya siku 27 alizokaa Mamlaka ya Mapato (TRA), Waziri mpya wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amehamishia nguvu zake katika sekta ya fedha hasa benki, akizitaka zipunguze riba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yapandisha riba baada ya miaka 7

Benki Kuu ya Marekani imepandisha kiwango kikuu cha riba kwa alama ya robo ya asilimia tangu mtikisiko wa uchumi nchini humo mwaka 2008.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani