BAADA YA KULITUMIKIA MIAKA 10 JIMBO LA SINGIDA MJINI, MO DEWJI AAGA RASMI, ASEMA HATAGOMBEA TENA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_7558.jpg)
Mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya CCM, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake ikiwa ni ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena Ubunge jimboni humo wakati wa Mkutano mkubwa wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miaka 10 ya kuwatumikia wananchi wa Singida, mkutano uliofanyika katika viwanja vya People's Club. Umati ulifurika. Mkazi wa Singida mjini akimwomba Mbunge wake...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Dewji aaga Singida, aliza wapiga kura
10 years ago
Habarileo09 Jul
Dewji aaga jimboni Singida, atumia bil 5/- kwa maendeleo
MBUNGE wa Singida mjini na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, amesema hatagombea ubunge wa jimbo hilo tena baada ya kulitumikia kwa miaka 10 na kuwezesha maendeleo makubwa katika sekta za elimu na afya.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Mjasiriamali maarufu Singida, Juma Kidabu, akuchukua fomu kugombea jimbo la Singida mjini
Mjasiriamali maarufu manispaa ya Singida, Juma Ahmed Kidabu, almaarufu kwa jina la Juma Alhaj, akikabidhiwa na Katibu wa CCM jimbo la Singida mjini, Margeth Ndwete, fomu za ubunge katika jimbo hilo.Wana CCM wapatao nane jana wameanza harakati za kusaka kura za maoni.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Natosha kuvaa viatu vya ubunge wa Dewji Singida mjini- Hasan Mazala
Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.
Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.
Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.
Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.
Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Rais Pierre Nkurunziza hatagombea tena
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKr5QOupEPM/Vkcn3hCoboI/AAAAAAAArUg/kej4rJCfD04/s72-c/2.jpg)
NAPE AANZA KAZI ZA KULITUMIKIA JIMBO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZKr5QOupEPM/Vkcn3hCoboI/AAAAAAAArUg/kej4rJCfD04/s640/2.jpg)
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye ameanza kazi ya kuwatumikia wakazi wa jimbo hilo baada ya kusaini mkataba maalum na Ubalozi wa China nchini wa kusaidia vifaa vya huduma ya Afya kwa jimbo la Mtama.
Ikumbukwe katika kampeni...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Madada wa Cambodia wenye miaka 98 na 101, wakutana tena baada ya miaka 47
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s72-c/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI IDARA YA MAHAKAMA, YAMPA TUZO KWA MAKUBWA ALIYOFANYA KATIKA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIc1FkhhKqM/VcNDkx4qvDI/AAAAAAAHuho/q9QQ46Vs_E0/s640/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-whQZtXyJguA/VcNIz0KoQnI/AAAAAAAHujY/t_ly0NsKyjw/s640/m2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Mgombea jimbo la Singida magharibi, Wilson Nkhambaku ndani ya CCM aomba kura asema yeye ni jembe
Mgombea nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Puma
MGOMBEA nafasi ubunge kura za maoni jimbo la Singida magharibi, Wilson Elisha Nkhambaku, amesema kuihama CCM mwaka 2010 na kujiunga na upinzani,kitendo hicho kilikuwa ni ajali ya kawaida ya kisiasa.
Amedai kuhama huko na kukaa upinzani kwa muda mfupi,haikuwa tamaa ya kusaka uongozi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyofikiria.
Nkhambaku aliyasema hayo wakati...