KISA CORONA WAZIRI MKUU IRISH AREJEA KWENYE FANI YAKE YA UDAKTARI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MIAKA saba iliyopita Waziri mkuu wa Irish Leo Varadkar aliacha fani yake ya udaktari na kuingia kwenye siasa na leo amerudi katika fani yake ya awali akihudumu kama daktari ikiwa na sehemu ya kuisaidia nchi dhidi ya mlipuko wa virusi vya Corona (Covid -19) ambapo hadi sasa taifa hilo lina visa 4994 Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na chuo kikuu cha Johns Hopkins siku ya Jumatatu.
Varadkar aliyehudumu katika sekta ya afya kama daktari kwa miaka saba ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
CORONA YAMREJESHA MLIMBWENDE KWENYE FANI YAKE YA UDAKTARI

Mukherjee alipewa taji hilo Agosti mwaka jana (2019) na kuchukua mapumziko katika fani yake yake ya udaktari na kujikita zaidi katika shughuli za kijamii na tayari amerejea Uingereza kutoka nchini India katika safari ya shughuli za...
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson ni lazima apumzike, asema baba yake
11 years ago
BBCSwahili03 Sep
Waziri Mkuu wa Lesotho arejea nyumbani
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Faiza Kufunguka Kisa Cha Kuvaa Diaper (Pampers) Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa!!!!
KALI YA WIKI: Kwa iliyopita hii ndio ilikuwa kali ya mwaka kwa mwigizaji wa filamu Faiza Ally, kuvaa Diaper wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa.
Tukio hilo lilitokea juzikati katika Hotel ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar, ambako walialikwa watu wachache kwa ajili ya kula chakula cha jioni pamoja.
Faiza ambaye amezaa mtoto na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ leo atakuwepo kwenye kipindi cha TAKEONE, kwamujibu...
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMTEMBELEA MAMA YAKE MZAZI WAZIRI MKUU PINDA MKOANI KATAVI LEO


10 years ago
Michuzi
Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho


9 years ago
MillardAyo15 Dec
Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja
Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]
The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
LOTA MOLLEL : Mwanamitindo asiyependa fani yake idharauliwe
5 years ago
CCM Blog
WAZIRI MKUU AONYA WAPOTOSHAJI KUHUSU CORONA

Amesema kuanzia sasa taarifa hizo zitatolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na ikilazimika zitatolewa na Waziri Mkuu na ikilazimika sana zitatolewa na viongozi wakuu wa nchi ili kuepusha mikanganyiko.
Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumamosi, Machi 21, 2020)...