Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fani katika tamthiliya ya Orodha

Fani ni ufundi wa kisanaa aliotumia mwandishi katika kazi yake. Fani inajumuisha muundo, mtindo, matumizi ya lugha, wahusika na mandhari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Migogoro, falsafa katika tamthiliya ya Orodha

Katika riwaya hii tunaweza kupata mifano ifuatayo ya migogoro:

 

9 years ago

Michuzi

Mahafali ya 9 ya Chuo Kikuu Ardhi Yafana, 1874 Wahitimu katika fani mbalimbali

 Mlau (Proctor) wa Chuo Kikuu Ardhi Prof.Joseph Lusuga Kilonde akiongoza andamano la wanataaluma (Academic Procession) wa Chuo Kikuu Ardhi Wakati wa Mahafali ya 9 ya Chuo hicho jijini Dar es salaam.Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi Mhe. Cleopa Msuya (kulia) na Makamu Mkuu wa chuo hicho Prof.Idrissa Mshoro wakiongoza  wahitimu wa Chuo hicho wakati wa Mahafali ya 9, mwaka 2015 jijini Dar es salaam. Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi Mhe. Cleopa Msuya (katikati) na na viongozi wengine wa chuo hicho wakiwaongoza ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Samatta katika orodha ya 3 bora ya CAF

Mbwana Samatta ametajwa katika orodha ya wachezaji watatu bora na shirikisho la soka la Afrika CAF wanaocheza spoka barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika yawika katika orodha ya FIFA

Guinea ndio taifa la Afrika ambalo limepanda juu zaidi katika orodha ya FIFA duniani mwezi wa Novemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

I Coast yapanda katika orodha ya FIFA

Ivory Coast imepanda katika orodha ya shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kushinda kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yapanda nafasi 27 katika orodha ya FIFA

Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 inaorodheshwa katika nafasi ya 25 barani Afrika na 98 duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Matajiri 435 wa Tanzania wajiunga katika orodha ya mamilionea duniani

Takriban Watanzania 435 wamekuwa mamilionea wa dola mwaka uliopita kulingana na ripoti ya utajiri ya Knight Frank.

 

11 years ago

Michuzi

KILWA KISIWANI NA SONGO MNARA YAONDOLEWA KATIKA ORODHA HATARISHI YA UNESCO

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mahmoud Mgimwa akipongezwa na mmoja wa wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa UNESCO jijini Doha, Qatar kufuatia hatua ya Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kuondolewa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia yaliyo hatarini kutoweka na kurudishiwa hadhi yake ya awali ya urithi wa dunia. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Tarishi Kibenga (kati) na Mkurugenzi wa Malikale Bw. Donatius...

 

11 years ago

Dewji Blog

TBC na CRI yazindua tamthiliya ya Kichina iliyotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili

PIX 1

Mkurugenzi Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Clement Mshana akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kwajili ya kuzindua rasmi Tamthiliya ya Mapenzi na Furaha ya Kijana (Jin Tai Lang) uliofanyika leo katika Viwanja vya TBC jijini Dar es Salaam.

Na Benedict Liwenga – MAELEZO

SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) na Shirika la Radio ya Kimataifa ya Jamhuri ya Watu wa China (CRI) leo kwa pamoja yameshirikiana katika sherehe ya Uzinduzi wa Tamthiliya ijulikanayo kwa jina la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani