KILWA KISIWANI NA SONGO MNARA YAONDOLEWA KATIKA ORODHA HATARISHI YA UNESCO
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mahmoud Mgimwa akipongezwa na mmoja wa wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa UNESCO jijini Doha, Qatar kufuatia hatua ya Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kuondolewa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia yaliyo hatarini kutoweka na kurudishiwa hadhi yake ya awali ya urithi wa dunia. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Tarishi Kibenga (kati) na Mkurugenzi wa Malikale Bw. Donatius...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uTJbmgSsOqU/U6EkCHXK0WI/AAAAAAAFrY0/DIVVnd_fc80/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Kilwa Kisiwani and Songo Mnara RUINS removed from UNESCO List of World Heritage in Danger
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Magofu ya Kilwa yaondolewa orodha hatarishi
WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yameorodheshwa kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini, yameondolewa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cTCOAOS3Y7I/U_TP8S8jlaI/AAAAAAAGA-M/bp_RnQwgkLE/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
US Ambassadors Fund for Cultural Preservation Supports Cultural Heritage at Kilwa Kisiwani and Songo Mnara, Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-cTCOAOS3Y7I/U_TP8S8jlaI/AAAAAAAGA-M/bp_RnQwgkLE/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
11 years ago
MichuziTASAF na washirika wa maendeleo wanaofadhili Mpango wa kunusuru Kaya Masikini na zinazoishi katika mazingira hatarishi watembelea kisiwani Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s72-c/1.jpg)
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa Kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant na kutoa msaada katika hospital ya Ligula
![](http://4.bp.blogspot.com/-RXIPf3CuUlM/VMeq94U37UI/AAAAAAAG_zs/2v9uSDXLEoE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g1MuqSacGmc/VMeq97JZ8hI/AAAAAAAG_zw/Y3OqAU93lgE/s1600/2.jpg)
10 years ago
TheCitizen30 Nov
Fading glory of Kilwa Kisiwani
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Majengo muhimu yaliyobaki historia Kilwa Kisiwani
10 years ago
Habarileo18 Feb
Songo Songo wapewa boti iendayo mwendo wa kasi
WAKAZI wa Kijiji cha Songo Songo mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa boti ya mwendo kasi ya kubeba wagonjwa yenye thamani ya Sh milioni 80 itakayosaidia kutatua tatizo la usafiri wa haraka uliokuwa ukiwakumba.
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akitembeea katika eneo la mradi wa nyumba za wafanyakazi wa Mradi wa kuchakata Gesi Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant wakati wa ziara ya Maafisa Mawasiliano Serikalini leo Mkoani Mtwara. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – MAEEZO Bibi. Zamaradi Kawawa na Mkuu wa Kitengo Serikalini wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud(katikati).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,...