Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILWA KISIWANI NA SONGO MNARA YAONDOLEWA KATIKA ORODHA HATARISHI YA UNESCO

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mahmoud Mgimwa akipongezwa na mmoja wa wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa UNESCO jijini Doha, Qatar kufuatia hatua ya Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kuondolewa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia yaliyo hatarini kutoweka na kurudishiwa hadhi yake ya awali ya urithi wa dunia. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Tarishi Kibenga (kati) na Mkurugenzi wa Malikale Bw. Donatius...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kilwa Kisiwani and Songo Mnara RUINS removed from UNESCO List of World Heritage in Danger

The World Heritage Committee meeting in Doha (Qatar) has found that management and safeguarding of the Ruins of Kilwa Kisiwani and Ruins of Songo Mnara in the United Republic of Tanzania have improved to the point where the site can be removed from the List of World Heritage in Danger.   Located on two islands close to each other just off the Tanzanian coast about 300km south of Dar es Salaam, Kilwa Kisiwani and Songo Mnara were Swahili trading cities.  Their prosperity was based on control...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magofu ya Kilwa yaondolewa orodha hatarishi

WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara yaliyokuwa yameorodheshwa kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia ulio hatarini, yameondolewa...

 

10 years ago

Michuzi

US Ambassadors Fund for Cultural Preservation Supports Cultural Heritage at Kilwa Kisiwani and Songo Mnara, Tanzania

Ancient ruins at Kilwa Kisiwani in Southern Tanzania. The United States Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer along with representatives from the Ministry for Natural Resources & Tourism and local dignitaries, celebrated the successful conclusion of a project to conserve ancient ruins at the Kilwa Kisiwani and Songo Mnara World Heritage Site. This project was implemented in partnership with the Tanzanian government’s Antiquities Division and the World Monuments Fund, with...

 

11 years ago

Michuzi

TASAF na washirika wa maendeleo wanaofadhili Mpango wa kunusuru Kaya Masikini na zinazoishi katika mazingira hatarishi watembelea kisiwani Zanzibar

 Mkuu wa Mkoa wa Kusimni Unguja.Dkt. Idris Muslim Hijja, akizungumza na Ujumbe wa Tasaf  na Wawakilishi wa kutoka Nchi Wafadhi wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini PSSN  kabla ya kutembelea Shehia ya Kikungwi.   Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF mwenye suti nyeusi Ndg. Ladisilaus Mwamanga, akizungumza katika  Ofisi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Dkt Idris Muslim Hijja, kabla ya kuaza kwa ziara hiyo.  Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia Bi. Ida Manjoro, akizungumza wakati walipofika Ofisi ya...

 

10 years ago

Michuzi

Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa Kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant na kutoa msaada katika hospital ya Ligula

Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO Assah Mwambene (kulia) akikabidhi kwa niaba ya Maafisia Mawasiliano Serikalini msaada wa Kitanda cha wagonjwa kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula Mkoani Mtwara Dkt. Mohamed Abraham Gwao walipotembelea Hospitalini hapo leo.Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO Assah Mwambene (kulia) akikabidhi kwa niaba ya Maafisia Mawasiliano Serikalini msaada wa Kitanda cha wagonjwa kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula Mkoani Mtwara Dkt. Mohamed Abraham Gwao...

 

10 years ago

TheCitizen

Fading glory of Kilwa Kisiwani

I will not assume. So, permit me to ask: ever heard of one Nasir Jones alias Nas? Okay. Please keep your fingers away from your head.

 

11 years ago

Mwananchi

Majengo muhimu yaliyobaki historia Kilwa Kisiwani

Mji wa Kilwa Kisiwani Mkoani Lindi ni miongoni mwa miji michache iliyobeba historia ya Bara la Afrika. Inasadikiwa kuwa mji huu ulianza katika karne ya saba baada ya Kristo takribani miaka 1,400 iliyopita.

 

10 years ago

Habarileo

Songo Songo wapewa boti iendayo mwendo wa kasi

WAKAZI wa Kijiji cha Songo Songo mkoani Lindi, wamepatiwa msaada wa boti ya mwendo kasi ya kubeba wagonjwa yenye thamani ya Sh milioni 80 itakayosaidia kutatua tatizo la usafiri wa haraka uliokuwa ukiwakumba.

 

10 years ago

Dewji Blog

Maafisa Mawasiliano watembelea Mradi wa kuchakata Gesi wa Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant

3

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akitembeea katika eneo la mradi wa nyumba za wafanyakazi wa Mradi wa kuchakata Gesi Tanzania Mnazi Bay and Songo Songo Gas Processing Plant  wakati wa ziara ya Maafisa Mawasiliano Serikalini leo Mkoani Mtwara. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari – MAEEZO Bibi. Zamaradi Kawawa na Mkuu wa Kitengo Serikalini wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud(katikati).

4

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani