Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majengo muhimu yaliyobaki historia Kilwa Kisiwani

Mji wa Kilwa Kisiwani Mkoani Lindi ni miongoni mwa miji michache iliyobeba historia ya Bara la Afrika. Inasadikiwa kuwa mji huu ulianza katika karne ya saba baada ya Kristo takribani miaka 1,400 iliyopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Fading glory of Kilwa Kisiwani

I will not assume. So, permit me to ask: ever heard of one Nasir Jones alias Nas? Okay. Please keep your fingers away from your head.

 

11 years ago

Michuzi

KILWA KISIWANI NA SONGO MNARA YAONDOLEWA KATIKA ORODHA HATARISHI YA UNESCO

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mahmoud Mgimwa akipongezwa na mmoja wa wajumbe wanaohudhuria Mkutano wa UNESCO jijini Doha, Qatar kufuatia hatua ya Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kuondolewa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia yaliyo hatarini kutoweka na kurudishiwa hadhi yake ya awali ya urithi wa dunia. Wanaoshuhudia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Tarishi Kibenga (kati) na Mkurugenzi wa Malikale Bw. Donatius...

 

11 years ago

Michuzi

Kilwa Kisiwani and Songo Mnara RUINS removed from UNESCO List of World Heritage in Danger

The World Heritage Committee meeting in Doha (Qatar) has found that management and safeguarding of the Ruins of Kilwa Kisiwani and Ruins of Songo Mnara in the United Republic of Tanzania have improved to the point where the site can be removed from the List of World Heritage in Danger.   Located on two islands close to each other just off the Tanzanian coast about 300km south of Dar es Salaam, Kilwa Kisiwani and Songo Mnara were Swahili trading cities.  Their prosperity was based on control...

 

10 years ago

Michuzi

US Ambassadors Fund for Cultural Preservation Supports Cultural Heritage at Kilwa Kisiwani and Songo Mnara, Tanzania

Ancient ruins at Kilwa Kisiwani in Southern Tanzania. The United States Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer along with representatives from the Ministry for Natural Resources & Tourism and local dignitaries, celebrated the successful conclusion of a project to conserve ancient ruins at the Kilwa Kisiwani and Songo Mnara World Heritage Site. This project was implemented in partnership with the Tanzanian government’s Antiquities Division and the World Monuments Fund, with...

 

9 years ago

Bongo5

Kuoneshwa kwa ‘Going Bongo’ kwenye majumba ya sinema Tanzania kutaandika historia muhimu – Ernest Napoleon

Ernest Kuonyeshwa_4

Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon anaamini kuwa kuoneshwa kwa filamu ya Going Bongo kwenye majumba ya sinema nchini kutaandika historia muhimu kwenye tasnia ya filamu ya Tanzania.

Napoleon amedai kuwa uoneshwaji wa filamu kwenye majumba ya sinema ndio msingi wa mafanikio kwa soko la filamu katika nchi zilizoendelea.

Filamu yake ya Going Bongo itaanza kuoneshwa December 11, kwenye ukumbi wa sinema wa Century Cinemax uliopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.

“Tunajaribu...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI KISIWANI UNGUJA,KESHO KUWASILI KISIWANI PEMBA.

Pichani juu na chini ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia Baadhi ya wakazi wa mji wa Kizimkazi waliofika katika uwanja wa Kizimkazi Mkunguni,Wilaya ya Kusini Unguja kumsikiliza.Ndugu Kinana ambaye leo anaikamilisha ziara yake ya siku kumi katika kisiwa cha Unguja akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,katika suala zima la kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.Mkutano wa hadhara ukiendelea katika uwanja wa Kizimkazi...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yakarabati duka jingine kisiwani Zanzibar, Wateja kufurahia huduma bora kutoka Airtel kisiwani Zanzibar.

Airtel Tanzania imefungua duka lake la kisasa kisiwani Zanzibar lililopo mtaa wa Mlandege lenye uwezo wa kuhudumia wateja zaidi ya 100 kwa siku. Ni duka la kisasa ambalo lipo karibu na wateja lenye kurahisisha maisha ya wateja wote wa Airtel kisiwani Zanzibar.  Akizungumza katika uzinduzi wa duka hilo Mkurugenzi kwa huduma kwa wateja , Bi Adriana Lyamba alisema, "kwamba kupanua kwetu kwa huduma za mtandao kwa wateja wetu ni ishara tosha ya kuonyesha ni jinsi gani Airtel inajali wateja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake 2 wanyongwa kisiwani

POLISI mkoani Mwanza imetaka wakazi wa kisiwa cha Ukara wilaya ya Ukerewe, kuacha usiri badala yake wasaidie kupata watu waliohusika na mauaji ya wanawake wawili yaliyotokea kisiwani hapo jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani