TBC na CRI yazindua tamthiliya ya Kichina iliyotafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili
Mkurugenzi Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Clement Mshana akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kwajili ya kuzindua rasmi Tamthiliya ya Mapenzi na Furaha ya Kijana (Jin Tai Lang) uliofanyika leo katika Viwanja vya TBC jijini Dar es Salaam.
Na Benedict Liwenga – MAELEZO
SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) na Shirika la Radio ya Kimataifa ya Jamhuri ya Watu wa China (CRI) leo kwa pamoja yameshirikiana katika sherehe ya Uzinduzi wa Tamthiliya ijulikanayo kwa jina la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo19 Oct
ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 25 Octoba 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda kwa:-WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Fr. Leandry Kimario, ni...
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wn7KEKDwbUQ/Vg9MLTjiEbI/AAAAAAAAGZU/XdriSwNF8Wg/s72-c/logo.jpg)
MADARASA YA LUGHA YA KISWAHILI KWA MUHULA WA PILI WA MWAKA 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-wn7KEKDwbUQ/Vg9MLTjiEbI/AAAAAAAAGZU/XdriSwNF8Wg/s640/logo.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Usalama wa wateja wa benki, Lugha ya Kichina, wakuu wa shule na ubadhirifu..#MAGAZETINI
HABARILEO Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha. Akizungumza jana jijini Dar es SaIaam, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Abdallah Bulembo alisema zaidi ya shule 26 walizozifanyia ukaguzi, 15 zimekutwa zikiwa na upungufu na kubwa ikiwa ni […]
The post Usalama wa wateja wa benki, Lugha ya Kichina, wakuu wa shule na ubadhirifu..#MAGAZETINI appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo23 Apr
KITABU CHA 'THE 7 HABITS OF HIGHLY EFFECTIVE PEOPLE' CHAZINDULIWA UPYA KWA LUGHA YA KISWAHILI
![DSC_0006](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_00061.jpg)
![DSC_0007](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0007.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_00061.jpg)
KITABU CHA 'THE 7 HABITS OF HIGHLY EFFECTIVE PEOPLE' CHAZINDULIWA UPYA KWA LUGHA YA KISWAHILI
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa Lugha ya Kiswahili
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Uchambuzi wa lugha ya Kiswahili