I Coast yapanda katika orodha ya FIFA
Ivory Coast imepanda katika orodha ya shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kushinda kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kenya yapanda nafasi 27 katika orodha ya FIFA
Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 inaorodheshwa katika nafasi ya 25 barani Afrika na 98 duniani.
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Misri yapanda orodha ya FIFA
Misri imepiga hatua kubwa zaidi miongoni mwa timu za Afrika katika orodha ya kwanza ya FIFA mwaka 2014
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Afrika yawika katika orodha ya FIFA
Guinea ndio taifa la Afrika ambalo limepanda juu zaidi katika orodha ya FIFA duniani mwezi wa Novemba.
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA
Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetoa orodha mpya ya waamuzi linaowatambua ,Kwenye orodha hiyo kuna jumla ya waamuzi 18 kutoka Tanzania.
10 years ago
Bongo528 Oct
FIFA yatoa orodha ya wachezaji 23 wanaowania Ballon d’Or 2014.
Shirikisho la soka duniani FIFA limetangaza majina ya wachezaji 23 wanaowania tuzo ya FIFA ya Ballon d’Or mwaka 2014. Wachezaji sita wa Ujerumani waliocheza Kombe la dunia wametajwa, na kufanya iwe nchi yenye wawakilishi wengi kwenye orodha hiyo. Wachezaji hao wa Ujerumani ni Philipp Lahm, Mario Gotze, Toni Kroos, Thomas Muller, Manuel Neuer na Bastian […]
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80959000/jpg/_80959418_463007334.jpg)
Ivory Coast move up Fifa rankings
Ivory Coast move up the latest Fifa world rankings after winning their first Africa Cup of Nations title since 1992.
9 years ago
Bongo503 Oct
Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
West Ham yapanda katika ligi ya EPL
West Ham wamerudi katika nafasi nzuri ya kushiriki katika mechi za kilabu bingwa Ulaya baada ya kuicharaza Hull City 3-0
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Bei yapanda ghafla katika maduka ya jumla na rejareja
Kumeibuka sintofahamu miongoni mwa wananchi na wafanyabiashara wa maduka ya rejareja baada ya bei ya sukari kupanda ghafla na kufikia Sh80,000 kwa mfuko wa kilo 50.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania