Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


I Coast yapanda katika orodha ya FIFA

Ivory Coast imepanda katika orodha ya shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kushinda kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yapanda nafasi 27 katika orodha ya FIFA

Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 inaorodheshwa katika nafasi ya 25 barani Afrika na 98 duniani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri yapanda orodha ya FIFA

Misri imepiga hatua kubwa zaidi miongoni mwa timu za Afrika katika orodha ya kwanza ya FIFA mwaka 2014

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika yawika katika orodha ya FIFA

Guinea ndio taifa la Afrika ambalo limepanda juu zaidi katika orodha ya FIFA duniani mwezi wa Novemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetoa orodha mpya ya waamuzi linaowatambua ,Kwenye orodha hiyo kuna jumla ya waamuzi 18 kutoka Tanzania.

 

10 years ago

Bongo5

FIFA yatoa orodha ya wachezaji 23 wanaowania Ballon d’Or 2014.

Shirikisho la soka duniani FIFA limetangaza majina ya wachezaji 23 wanaowania tuzo ya FIFA ya Ballon d’Or mwaka 2014. Wachezaji sita wa Ujerumani waliocheza Kombe la dunia wametajwa, na kufanya iwe nchi yenye wawakilishi wengi kwenye orodha hiyo. Wachezaji hao wa Ujerumani ni Philipp Lahm, Mario Gotze, Toni Kroos, Thomas Muller, Manuel Neuer na Bastian […]

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast move up Fifa rankings

Ivory Coast move up the latest Fifa world rankings after winning their first Africa Cup of Nations title since 1992.

 

9 years ago

Bongo5

Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136

Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

West Ham yapanda katika ligi ya EPL

West Ham wamerudi katika nafasi nzuri ya kushiriki katika mechi za kilabu bingwa Ulaya baada ya kuicharaza Hull City 3-0

 

10 years ago

Mwananchi

Bei yapanda ghafla katika maduka ya jumla na rejareja

Kumeibuka sintofahamu miongoni mwa wananchi na wafanyabiashara wa maduka ya rejareja baada ya bei ya sukari kupanda ghafla na kufikia Sh80,000 kwa mfuko wa kilo 50.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani