Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri yapanda orodha ya FIFA

Misri imepiga hatua kubwa zaidi miongoni mwa timu za Afrika katika orodha ya kwanza ya FIFA mwaka 2014

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

I Coast yapanda katika orodha ya FIFA

Ivory Coast imepanda katika orodha ya shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kushinda kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yapanda nafasi 27 katika orodha ya FIFA

Licha ya kuondolewa katika kinyang'anyiro cha kufuzu kwa kombe la dunia Harambee Stars ya Kenya imepanda nafasi 27 inaorodheshwa katika nafasi ya 25 barani Afrika na 98 duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika yawika katika orodha ya FIFA

Guinea ndio taifa la Afrika ambalo limepanda juu zaidi katika orodha ya FIFA duniani mwezi wa Novemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetoa orodha mpya ya waamuzi linaowatambua ,Kwenye orodha hiyo kuna jumla ya waamuzi 18 kutoka Tanzania.

 

10 years ago

Bongo5

FIFA yatoa orodha ya wachezaji 23 wanaowania Ballon d’Or 2014.

Shirikisho la soka duniani FIFA limetangaza majina ya wachezaji 23 wanaowania tuzo ya FIFA ya Ballon d’Or mwaka 2014. Wachezaji sita wa Ujerumani waliocheza Kombe la dunia wametajwa, na kufanya iwe nchi yenye wawakilishi wengi kwenye orodha hiyo. Wachezaji hao wa Ujerumani ni Philipp Lahm, Mario Gotze, Toni Kroos, Thomas Muller, Manuel Neuer na Bastian […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Misri yarejea katika 50 bora Fifa

Misri imepanda hatua tatu katika orodha ya Fifa na sasa imo nambari 49 mara ya kwanza kwa taifa hilo kuwa katika 50 bora mwaka huu

 

9 years ago

Bongo5

Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136

Shirikisho la soka duniani Fifa limetangaza viwango vya ubora vya mchezo wa soka kwa mwezi Septemba ambapo Argentina wanaendelea kuongoza katika chati hiyo. Mabingwa wa dunia Ujerumani wanashika nafasi ya pili, huku Ubelgiji wakishika nafasi ya tatu katika viwango vya ubora. Algeria ndio taifa la Afrika linaloongoza likiwa nafasi ya 19 huku Ivory Coast wakiwa […]

 

10 years ago

GPL

JB PRESHA YAPANDA

ISHU! Wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikikutana leo mjini Dodoma kupitia na mwishowe kukata majina ya wagombea wanaowania kuteuliwa kwa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, presha ya muigizaji Jacob Stephen ‘JB’ imepanda, kwa hofu ya kutokea tafrani miongoni mwa wanachama wa chama hicho. Muigizaji maarufu wa Bongo movie , Jacob Stephen ‘JB’ .
Akizungumza na gazeti hili...

 

9 years ago

Habarileo

Presha yapanda Ligi Kuu

LIGI Kuu Tanzania Bara iliyokuwa imesimama karibu mwezi mmoja na nusu inatarajiwa kuendelea tena kesho katika viwanja mbalimbali, huku timu mbalimbali zikitamba kuibuka na ushindi. Timu mbalimbali tayari zimeshasogea vituoni kwa ajili ya michezo yao ya kesho na nyingi zikitamba kwamba zitang’ara ili kujiweka vyema katika msimamo wa ligi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani