Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Presha yapanda Ligi Kuu

LIGI Kuu Tanzania Bara iliyokuwa imesimama karibu mwezi mmoja na nusu inatarajiwa kuendelea tena kesho katika viwanja mbalimbali, huku timu mbalimbali zikitamba kuibuka na ushindi. Timu mbalimbali tayari zimeshasogea vituoni kwa ajili ya michezo yao ya kesho na nyingi zikitamba kwamba zitang’ara ili kujiweka vyema katika msimamo wa ligi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JB PRESHA YAPANDA

ISHU! Wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikikutana leo mjini Dodoma kupitia na mwishowe kukata majina ya wagombea wanaowania kuteuliwa kwa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, presha ya muigizaji Jacob Stephen ‘JB’ imepanda, kwa hofu ya kutokea tafrani miongoni mwa wanachama wa chama hicho. Muigizaji maarufu wa Bongo movie , Jacob Stephen ‘JB’ .
Akizungumza na gazeti hili...

 

10 years ago

Habarileo

Presha ya ubunge CCM yapanda

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza kurudiwa kwa kura za maoni kesho katika majimbo matano nchini, kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mchakato wa upigaji kura hizo.

 

9 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yapanda kileleni mwa ligi

David Silva alifunga mabao mawili dhidi ya Crystal Palace na kuiwezesha Manchester City kupanda hadi kilele cha ligi

 

10 years ago

BBCSwahili

West Ham yapanda katika ligi ya EPL

West Ham wamerudi katika nafasi nzuri ya kushiriki katika mechi za kilabu bingwa Ulaya baada ya kuicharaza Hull City 3-0

 

9 years ago

StarTV

IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..

WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Karibuni Ligi Kuu

WAKATI Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikielekea ukingoni, timu tatu za kuchukua nafasi ya timu zilizoshindwa kuhimili kishindo, zimeshajulikana kutoka Ligi Daraja la Kwanza. Hiyo ni kwa mujibu wa kanuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani