Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB PRESHA YAPANDA

ISHU! Wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikikutana leo mjini Dodoma kupitia na mwishowe kukata majina ya wagombea wanaowania kuteuliwa kwa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, presha ya muigizaji Jacob Stephen ‘JB’ imepanda, kwa hofu ya kutokea tafrani miongoni mwa wanachama wa chama hicho. Muigizaji maarufu wa Bongo movie , Jacob Stephen ‘JB’ .
Akizungumza na gazeti hili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Presha ya ubunge CCM yapanda

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza kurudiwa kwa kura za maoni kesho katika majimbo matano nchini, kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mchakato wa upigaji kura hizo.

 

9 years ago

Habarileo

Presha yapanda Ligi Kuu

LIGI Kuu Tanzania Bara iliyokuwa imesimama karibu mwezi mmoja na nusu inatarajiwa kuendelea tena kesho katika viwanja mbalimbali, huku timu mbalimbali zikitamba kuibuka na ushindi. Timu mbalimbali tayari zimeshasogea vituoni kwa ajili ya michezo yao ya kesho na nyingi zikitamba kwamba zitang’ara ili kujiweka vyema katika msimamo wa ligi.

 

9 years ago

Mwananchi

Bei ya bidhaa yapanda Zanzibar

Hali ya uchumi Zanzibar inazidi kudorora huku bei za bidhaa zikizidi kupanda kutokana na meli zinazosafirisha bidhaa hizo kutoka Tanzania Bara kupunguza safari zake kutokana na hali ya kisiasa iliyopo hapa Zanzibar.

 

9 years ago

Habarileo

Homa ya Ngao ya Jamii yapanda

HOMA ya pambano la ngao ya jamii zimezidi kupanda baada ya Yanga na Azam kurejea Dar es Salaam tayari kwa mechi hiyo itakayochezwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

UN yapanda miti mlima Kilimanjaro

MASHIRIKA ya Umoja wa Mataifa yaliyopo nchini yameadhimisha miaka 70 ya kuundwa kwa chombo hicho kwa kupanda miti zaidi ya 2,000 katika miteremko ya mlima Kilimanjaro.

 

5 years ago

StarTV

Bei ya nafaka yapanda Mbeya.

BEI ya mazao aina ya nafaka katika baadhi ya masoko jijini Mbeya imepanda ikilinganishwa na bei za mazao hayo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita. Nafaka zilizopanda bei ni pamoja na zile zinazo Ltumiwa na wananchi walio wengi katika maisha ya kila siku yakiwemo Maharagwe, Mahindi na Mchele ambazo kwa mujibu wa wafanyabiashara, bidhaa hizo …

 

11 years ago

BBCSwahili

Misri yapanda orodha ya FIFA

Misri imepiga hatua kubwa zaidi miongoni mwa timu za Afrika katika orodha ya kwanza ya FIFA mwaka 2014

 

10 years ago

BBCSwahili

I Coast yapanda katika orodha ya FIFA

Ivory Coast imepanda katika orodha ya shirikisho la soka duniani FIFA baada ya kushinda kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Bei ya nyama Dodoma, Dar yapanda

Wafanyabiashara wa nyama ya ng’ombe katika Manispaa ya Dodoma, wametangaza kupandisha bei ya nyama ya ng’ombe kutoka Sh6,000 hadi Sh7,000 kwa kilo moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani