JOTOARDHI KUPUNGUZA TATIZO LA UMEME NCHINI - WATAALAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-BeNkWxIhh6M/VccITpxHrRI/AAAAAAAHvac/0qpJSVtf0Ig/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-MbeyaKutokana na ongezeko la mahitaji ya nishati ya umeme nchini, nishati ya jotoardhi imetajwa kuwa ni muhimu kwa kuwa itaisaidia Tanzania kuondokana na tatizo la umeme usiokuwa na uhakika pamoja na kupunguza gharama kubwa zitokanazo na matumizi ya mitambo ya uzalishaji umeme yenye kutumia mafuta. Kauli hiyo imetolewa 8 Agosti, 2015 na Mjiolojia Mkuu toka Wizara ya Nishati na Madini, Bwana. Jacob Mayalla wakati wa Kampeni endelevu ya kuelimisha umma kuhusu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BeNkWxIhh6M/VccITpxHrRI/AAAAAAAHvac/0qpJSVtf0Ig/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
WATAALAMU - JOTOARDHI KUPUNGUZA TATIZO LA UMEME NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BeNkWxIhh6M/VccITpxHrRI/AAAAAAAHvac/0qpJSVtf0Ig/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WsF8yZ7N54c/VccITbpPXxI/AAAAAAAHvaY/IwIMhzCE-Wc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QA_uPbiGfE4/VccITivNFCI/AAAAAAAHvag/HSRE3wLWGQk/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Aug
Jotoardhi kupunguza tatizo la umeme nchini
![PICHA 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-2.jpg)
![PICHA 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-3.jpg)
![PICHA 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s72-c/Pic%2B1.jpg)
KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI HAPA NCHINI YATOA ELIMU YA NISHATI YA JOTOARDHI KWA WAKAZI WA KISAKI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCCkQ4TDzms/ViDaF4-g9_I/AAAAAAAIAUM/gnjjvvM0Mj4/s640/Pic%2B2.jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Tatizo la umeme nchini lawa kizungumkuti
9 years ago
MichuziTGDC NA MKAKATI WA UZALISHAJI WA UMEME KUPITIA JOTOARDHI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aNcalT9xN5w/Voobc6j-2YI/AAAAAAAIQIE/IwHjoAYGM2A/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
WIZARA TATU ZASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUMALIZA TATIZO LA KUKAUKA NA KUPUNGU KWA MAJI MABWAWA YA KUZALISHA UMEME NCHINI
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Tafiti za wataalamu zitusaidie kupunguza ajali za barabarani-2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lNNyJPyUz20/XkbJvg2PoLI/AAAAAAABKnc/e2eIMthpigocZ9Ts_Iol40tduA92vvbiQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200214-WA0083.jpg)
MAMLAKA ZA MAJI ZITUMIE WATAALAMU KUTOKA NDANI ILI KUPUNGUZA GHARAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lNNyJPyUz20/XkbJvg2PoLI/AAAAAAABKnc/e2eIMthpigocZ9Ts_Iol40tduA92vvbiQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200214-WA0083.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMamlaka za maji nchini zimetakiwa kuanza kutumia wataalamu wa ndani katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema sasa hivi mamlaka zote zinatakiwa zianze kutumia wataalamu kutoka ndani ili zipunguze gharama za ujenzi.
Amesema hayo...