BASHUNGWA AWATAKA WENYE VIWANDA VYA SUKARI KUREJEA MIKATABA YA UBINAFSISHWAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kav7MKgS8Kk/XqU3JGZDJ_I/AAAAAAALoPo/Qlxs5tgoxsgHOXlGUrU_FvDX_rMwreCEACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wenye viwanda vya sukari nchini kurejea mikataba ya uzalishaji walioafikiana na Serikali kujiridhisha iwapo inaenda sambamba na masharti waliokubaliana.
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Kilimanjaro alipofanya ziara katika kiwanda cha cha kuzalisha sukari cha TPC ili kujiridhisha na hali ya uzalishaji viwandani hapa.
Kuna viwanda vinne Kagera sugar, Mtibwa Sugar, Kilombero Sugar na TPC wakati vinabinafsishwa vilipewa malengo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHbWNfnVjH0/Xr4lAu1dJnI/AAAAAAALqTA/AwnUqTBoAGA6bXciIopdk1tFIs-9iWv5gCLcBGAsYHQ/s72-c/675b6db5-2b5f-471e-9bf1-711f454db6fe.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWATOA HOFU WATANZANIA KUHUSU UHABA WA SUKARI NCHINI,AWATAKA WAFANYA BIASHARA KUZINGATIA BEI ELEKEZI
Waziri wa viwanda na Biashara Mhe.Innocent Bashungwa (Mb) amewahakikishia watanzania kuwa hakutakuwa na uhaba wa sukari tena na kuwataka wananchi wasiwe na hofu juu ya sukari na kuwahasa wauzaji kuzingazia bei elekezi.
Mhe.Bashungwa ameyasema hayo jana Mei 14, 2020 alipofika katika bandari ya Mwanza kusini na kushuhudia Shehena ya Sukari tani 20,000 ikishushwa na meli kutoka Nchini Uganda iliyoagizwa na kiwanda cha kagera sugar kwa ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y7DbMS9m-ZM/XrwoXc8Q11I/AAAAAAALqIg/_lYHXl6g0ooaV95UWpTney2gGIn3-ZKGgCLcBGAsYHQ/s72-c/1...jpg)
BASHUNGWA AWAELEKEZA WAMILIKI WA VIWANDA KUZALISHA VIFAA KINGA VYA KUTOSHA KUKABILIANA NA CORONA.
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa amewapongeza wamiliki wa viwanda hivyo kwa kubuni na kugundua teknolojia na uzalishaji wa vifaa kinga kwa ajili ya kupambana na ugonjwa huo....
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Viwanda vya sukari visipolindwa vitakufa
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini
>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.
Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.
Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s72-c/DSC_0211.jpg)
NJIA ZA "PANYA" ZA SUKARI ZINAUA VIWANDA VYA NDANI - ZITTO KABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s1600/DSC_0211.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4QY98YZDOUE/VL5l_0aR6YI/AAAAAAAG-fo/q1MPNOR8BWs/s1600/DSC_0239.jpg)
11 years ago
Habarileo30 May
Wenye viwanda vya samaki wamsononesha Waziri
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani ameeleza kusikitishwa kwake na baadhi ya wenye viwanda vya kusindika minofu ya samaki, kununua samaki wasio na sifa kutoka kwa wavuvi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QgdIE_bpGeA/XtlOahKTaGI/AAAAAAALspQ/wJ3bDg_M-SwxmFfI6nwCY-n40AdAu9U8ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_9634.jpg)
WAZIRI MPINA AWATAKA WAWEKEZAJI NCHINI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA USINDIKAJI WA MAZIWA
SERIKALI imezitaka Halmashauri zote nchini kuzingatia bei elekezi ya chanjo ya mifugo na atakayekaidi hatua kali za kisheria na kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina leo jijini Dodoma wakati akihitimisha wiki ya Maziwa duniani ambapo ametumia nafasi hiyo kuwataka wenye viwanda vya kusindika maziwa kuongeza uzalishaji zaidi.
Waziri Mpina ametumia nafasi hiyo pia kuiagiza Bodi ya Maziwa na Wadau wote wa maziwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hb4InVOSWwI/XoyHv8EAsQI/AAAAAAALmYk/zqFoOZXFD_cSAEGuINcJwfflCvhD07IZACLcBGAsYHQ/s72-c/3a76b624-ef1e-42f2-a0e4-b063f232f273.jpg)
Bashungwa:Serikali kulinda Viwanda vinavyozalisha vifaa tiba ya kujikinga na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hb4InVOSWwI/XoyHv8EAsQI/AAAAAAALmYk/zqFoOZXFD_cSAEGuINcJwfflCvhD07IZACLcBGAsYHQ/s640/3a76b624-ef1e-42f2-a0e4-b063f232f273.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uskOLWH85SU/XoyHwOtydZI/AAAAAAALmYo/jMnVVMZA0Qo6HEb7ZF30937L4sRf-z8YgCLcBGAsYHQ/s640/4e794062-8b13-4cc4-ae59-20f9984edc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kuCCFuPIwr0/XoyHvHQUthI/AAAAAAALmYc/kod8KCR9UPkNyBAYg0tKYe3kcqU63kmjgCLcBGAsYHQ/s640/079cf713-ae35-4bf8-a838-053898bb6642.jpg)
5 years ago
MichuziCORONA YASABABISHA WAFANYABIASHARA KUCHELEWA KUAGIZA SUKARI KWA WAKATI, SERIKALI YAINGILIA KATI YATATUA CHANGAMOTO HIYO - WAZIRI BASHUNGWA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imewahakikishia watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari Tanzania hivyo wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa...