Goshashy kuingiza sokoni ‘Pepeto’
MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili, Ruben Goshashy, anatarajiwa kuingiza sokoni albamu mpya ya nyimbo za injili itakayokwenda kwa jina la ‘Pepeto’ ambayo inazungumzia jinsi maisha yanavyobadilika kutoka kwenye anasa hadi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Waruhusiwa kuingiza bidhaa sokoni
10 years ago
Habarileo03 Nov
Tanzania kuingiza hewa ya ukaa sokoni
WIZARA ya Maliasili na Utalii imeahidi kuiingiza Tanzania katika biashara ya kimataifa ya uuzaji wa hewa ya ukaa duniani kama moja ya kipato kipya kwa serikali pamoja na wananchi mmoja mmoja.
10 years ago
StarTV13 Feb
Wazalishaji, wasambazaji waaswa kuingiza Sukari sokoni
Na Neema Ndetto,
Dar es Salaam
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaagiza wazalishaji na wasambazaji wakubwa wa sukari nchini kuingiza Sukari sokoni na kuhakikisha inapatikana kwa bei ambayo watanzania wanaweza kuimudu.
Maagizo hayo yametolewa baada ya Serikali kuzuia sukari ya nje kuuzwa hapa nchini hali iliyosababisha kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 2500 hadi 3000.
cialis nitrato
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Kilimo,...
11 years ago
Bongo521 Jul
Tudd Thomas afuata nyayo za Dr. Dre, kuingiza sokoni headphone zake ‘TTP’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-7-ByR5t2kDW51B0pganxbe1K0qw6o8PVg*Hr-NSsDt*T85kyVmARMnrzISmYwqyYrzW4u4udWxy7rQIXLzZtP/unnamed1.jpg?width=650)
WASIRA AAGIZA WADAU WA SUKARI KUINGIZA SOKONI BIDHAA HIYO BADALA YA KUIFUNGIA GHALANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rOupGOl8G-U/VNw0WXwIh9I/AAAAAAAHDPA/4h6EAezEPGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Wasira aagiza wadau wa Sukari kuingiza sokoni bidhaa hiyo badala ya kuifungia ghalani
11 years ago
Mwananchi22 Jul
RC ashangaa mkaa kuingiza mapato
9 years ago
Habarileo19 Sep
Wafugaji wazuiwa kuingiza mifugo Selous
JAMII ya wafugaji waliopo katika kijiji cha Chengena, kata ya Luchili, wilayani Namtumbo, mkoani Ruvuma wametakiwa kuacha kuingiza mifugo yao na kufanya shughuli nyingine za kibinadamu katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Selous kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni
RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.