PROFESA JAY : FANANI AMEACHA KUVUTA MADAWA, HBC INARUDI
Lile kundi la hiphop HBC lilikuwa linaundwa na Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Profesa Jay, Big Wille pamoja na Fanani, ambao walikuwa pamoja kuanzia miaka ya tisini hadi miaka ya 2000 mwanzoni walipotea kwenye game baada ya kuachia album ya Funga Kazi iliyokuWa na ngoma kadhaa kama Chemsha Bongo na Niamini.
Kundi hilo linatarajiwa kurudi kwenye ramani ya Bongo Fleva chini ya studio za Mwanalizombe zinazomilikiwa na Profesa Jay.
Prof.J akazungumzia hali ya Fanani ambaye alikuwa ameathirika na...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPROFESA JAY AKIFANYA YAKE STEJINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiJrW84dxfHT5jNZuKAQmzRvYqc*K-2G3InKzUGpM-TYTBRiSQZvOMzG997ebC*SB6p5nT1x7ysoUfJOn8bGcwAj/5.jpg?width=650)
PROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa
MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...
11 years ago
GPLPROFESA JAY NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Habarileo12 Dec
Profesa Jay amfagilia Rais Magufuli
MBUNGE wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Joseph Haule maarufu ‘Profesa Jay’, amempongeza Rais John Magufuli, kwa kusikia kilio cha wasanii na kuunda Wizara ya Habari iliyozingatia masuala ya Utamaduni, Wasanii na Michezo.
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Profesa Jay ashinda kiti cha ubunge TZ
11 years ago
CloudsFM05 Aug
PROFESA JAY AFUNGUKA KUGOMBEA UBUNGE 2015
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Profesa Jay wa Mitulinga, kama unakumbuka vizuri tarehe 21 mwezi wa tano mwaka jana 2013 alikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa chama siasa cha CHADEMA na aliyemkabidhi kadi hiyo ni mbunge ambaye pia ni msanii wa Hip Hop Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.
Baada ya hapo hisia za Watanzania zilisafiri mpaka mjini Songea na kutoa jibu kwamba mwaka 2015 msanii huyo atagombea ubunge katika moja kati ya majimbo ya mkoani Ruvuma. Clouds fm imepiga stori na Profesa Jay huyu...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Profesa Jay, Sugu wafunika uzinduzi CHADEMA Mtandao
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, juzi uusiku alikonga nyoyo za waalikwa na Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika uzinduzi wa ‘CHADEMA...