Profesa Jay, Sugu wafunika uzinduzi CHADEMA Mtandao
MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, juzi uusiku alikonga nyoyo za waalikwa na Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika uzinduzi wa ‘CHADEMA...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLUZINDUZI WA GLOBAL TV ONLINE WAFUNIKA
9 years ago
GPLBEYONCE, JAY Z WAFUNIKA KATIKA TAMASHA LA TIDAL X 1020, MAREKANI
11 years ago
GPL10 years ago
Mwananchi06 Jul
Sugu, Lady Jay Dee waliniumiza kichwa-Ruge
9 years ago
Bongo518 Nov
Ujumbe wa Sugu kwa Professor Jay kuhusu lawama za wasanii
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. Joseph Haule a.k.a Professor Jay, ni wasanii wa muziki ambao wamefanikiwa kuingia kwenye Bunge la 11 baada ya kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Kupitia 255 ya XXL Sugu ambaye alikuwa Mbunge kwenye bunge lililopita, amempa ushauri Professor ambaye ndio ameingia mjengoni kwa mara ya kwanza kuhusu malalamiko kutoka kwa wasanii.
“Unajua wasanii wamekuwa wakilalamika kuhusu uwepo wangu...
10 years ago
GPLPROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa
MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...
10 years ago
GPLPROFESA JAY AKIFANYA YAKE STEJINI