Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmeamua kuvuta sahani yote ya chakula kwenu?

SASA nimeelewa kwanini watu wengine hupiga magoti wanapoomba kura. Kumbe ukipata kura ni sawa na kupata kula eh? Chah! Iwezekane vipi mtu aliyefanya kazi kwa miaka mitano, tena bila kupima...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SAFARI RESTAURANT-CHAKULA CHA KITANZANIA-KWA WATANZANIA NA MATAIFA YOTE- KARIBUNI !




                




                                                     

                                                    SAFARI RESTAURANT                                                4306 GEORGIA AVENUE,NW                                                       WASHINGTON,DC                                      OPEN- TUESDAY- SATURDAY :5PM-11PM
                                                       SUNDAY -2PM -11PM
                                                       ...

 

9 years ago

GPL

ALIENS WATENGENEZA NDEGE KAMA SAHANI

Wiki iliyopita nilianza kuliangalia Eneo la Area 51 ambalo linahusishwa na hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens. Eneo hili lipo katika Jimbo la Nevada nchini Marekani ambapo kama ilivyokuwa kwa Bermuda Triangle, nalo limejaa mauzauza ya kila aina. SASA ENDELEA… Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba...

 

10 years ago

Mwananchi

RC aapa kula sahani moja na watendaji

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantunu Mahiza amewataka watendaji kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kuzitumia changamoto kama fursa katika kazi zao sambamba na kubadilisha mtazamo ili kuwaletea maendeleo wananchi wa Lindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tutakula sahani moja na Azam -Simba.

Simba wamesema sasa wanakula sahani moja na klabu ya Azam ya kugombania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Bawacha waapa kula sahani moja na UWT

Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limetangaza mapambano dhidi ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), kwa kuwa haufanyi kazi kama ilivyokusudiwa.

 

5 years ago

Michuzi

RC Makonda kula sahani moja na wanaume wanaowaonea Wanawake

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam  Paul Makonda amesema ametangaza vita  kuwashughukikia kikamilifu wanaume wenye tabia ya kuwaonea Wanawake kwa kuwapiga hadi kuwaharibu mwonekano wa sura,macho,kuwavunja meno au taya na kusababisha baadhi yao kupata ulemavu wa kudumu jambo ambalo ni kinyume na Sheria.

Makonda ameyasema hayo wakati wa maadhinisho ya siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders .

RC Makonda amesema...

 

5 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

CCM mkizubaa itakula kwenu

LEO viongozi wakuu na mamia ya wafuasi, wapenzi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaungana jijini Mbeya kuadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho. Wazazi wa CCM ni...

 

10 years ago

Vijimambo

UMEIPENDAJE HII OSTAZ JUMA KUWEKA SIMU NA HEADPHONE KWENYE SAHANI

Huyo ndio Ostaz Juma simu yake na headphone zake kaweka kwenye sahani wakati akipata menu yake anajipendaje wewe unaonaje hii si ni powa?.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani