Mmeamua kuvuta sahani yote ya chakula kwenu?
SASA nimeelewa kwanini watu wengine hupiga magoti wanapoomba kura. Kumbe ukipata kura ni sawa na kupata kula eh? Chah! Iwezekane vipi mtu aliyefanya kazi kwa miaka mitano, tena bila kupima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-4MAqIa0s858/VMndFoynJRI/AAAAAAAAS38/wB9Mj0ew8-M/s72-c/blogger-image--1396263493.jpg)
SAFARI RESTAURANT-CHAKULA CHA KITANZANIA-KWA WATANZANIA NA MATAIFA YOTE- KARIBUNI !
![](https://lh3.googleusercontent.com/-4MAqIa0s858/VMndFoynJRI/AAAAAAAAS38/wB9Mj0ew8-M/s640/blogger-image--1396263493.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-4EbeG6F3zcI/VMnjETTK0GI/AAAAAAAAS5M/qtQEEC7SXdI/s640/blogger-image-228119481.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-ER4MMqYsGVA/VMnjIUFaOCI/AAAAAAAAS5c/z_H_qhxBn8o/s640/blogger-image--1725694353.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-8y-baUVM7zk/VMnjPOE0jTI/AAAAAAAAS50/zwVAEHMWrxI/s640/blogger-image-1019259639.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-euBTXQoyCJU/VMnjMU-h3pI/AAAAAAAAS5s/inSU0LrGqbQ/s640/blogger-image-2081747559.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-p9Z8r_1x64s/VMnjCkvH4ZI/AAAAAAAAS5E/node03UCez0/s640/blogger-image--1248887914.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-TBFrnKIrpVo/VMnjAj9YV9I/AAAAAAAAS48/QLl2Yau058E/s640/blogger-image--24866398.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-msJi3nMIupM/VMnjGm07lsI/AAAAAAAAS5U/eJz-Iw_tHwc/s640/blogger-image--2116667040.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-aaG2ql1d9-E/VMnjQ4uC04I/AAAAAAAAS58/ZWK0ExxnsEs/s640/blogger-image--1028091577.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-H2Jn7bvFaBE/VMnjKRRh42I/AAAAAAAAS5k/BdWsndMgOzA/s640/blogger-image-1132419506.jpg)
SUNDAY -2PM -11PM
...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAGlMzZWeM8pt11SwtGs-PEGSFmf-eqIhDY6zw-o6bQcdeF5fbNvYaA9vWId96Xyj5-MP2EyM-3u-0Hd0w5LAS6U/aliens3.jpg)
ALIENS WATENGENEZA NDEGE KAMA SAHANI
Wiki iliyopita nilianza kuliangalia Eneo la Area 51 ambalo linahusishwa na hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens. Eneo hili lipo katika Jimbo la Nevada nchini Marekani ambapo kama ilivyokuwa kwa Bermuda Triangle, nalo limejaa mauzauza ya kila aina. SASA ENDELEA… Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
RC aapa kula sahani moja na watendaji
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantunu Mahiza amewataka watendaji kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kuzitumia changamoto kama fursa katika kazi zao sambamba na kubadilisha mtazamo ili kuwaletea maendeleo wananchi wa Lindi.
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Tutakula sahani moja na Azam -Simba.
Simba wamesema sasa wanakula sahani moja na klabu ya Azam ya kugombania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya kimataifa.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Bawacha waapa kula sahani moja na UWT
Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limetangaza mapambano dhidi ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT), kwa kuwa haufanyi kazi kama ilivyokusudiwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AhyFBgGmomg/XmVGTWX2voI/AAAAAAALiG8/JiiRiJiXaEsAQmTWcjxQKTF_H1MtsuVtACLcBGAsYHQ/s72-c/2fbd2050-f26a-4378-8cb2-c1ca44f62860.jpg)
RC Makonda kula sahani moja na wanaume wanaowaonea Wanawake
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema ametangaza vita kuwashughukikia kikamilifu wanaume wenye tabia ya kuwaonea Wanawake kwa kuwapiga hadi kuwaharibu mwonekano wa sura,macho,kuwavunja meno au taya na kusababisha baadhi yao kupata ulemavu wa kudumu jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
Makonda ameyasema hayo wakati wa maadhinisho ya siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders .
RC Makonda amesema...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema ametangaza vita kuwashughukikia kikamilifu wanaume wenye tabia ya kuwaonea Wanawake kwa kuwapiga hadi kuwaharibu mwonekano wa sura,macho,kuwavunja meno au taya na kusababisha baadhi yao kupata ulemavu wa kudumu jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
Makonda ameyasema hayo wakati wa maadhinisho ya siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders .
RC Makonda amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9fteVawQ9tc/XsoEwwwjTUI/AAAAAAALrZ8/MmGcSl1GIfgxVN7_laPW5cuVlZaaTPgIACLcBGAsYHQ/s72-c/mich.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
CCM mkizubaa itakula kwenu
LEO viongozi wakuu na mamia ya wafuasi, wapenzi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaungana jijini Mbeya kuadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa chama hicho. Wazazi wa CCM ni...
10 years ago
Vijimambo18 Feb
UMEIPENDAJE HII OSTAZ JUMA KUWEKA SIMU NA HEADPHONE KWENYE SAHANI
![](http://api.ning.com/files/Aaa76ACbkjJshLqPaKcfL7IPLkd5twDEMPberWLaM-0xhErWuYKiY9foZ9ZIlDFq5toUs1VzFv8eu-4*QOUm5rnEUOHHjIo5/OstazJuma1.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania