Tutakula sahani moja na Azam -Simba.
Simba wamesema sasa wanakula sahani moja na klabu ya Azam ya kugombania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya kimataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
RC aapa kula sahani moja na watendaji
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Bawacha waapa kula sahani moja na UWT
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AhyFBgGmomg/XmVGTWX2voI/AAAAAAALiG8/JiiRiJiXaEsAQmTWcjxQKTF_H1MtsuVtACLcBGAsYHQ/s72-c/2fbd2050-f26a-4378-8cb2-c1ca44f62860.jpg)
RC Makonda kula sahani moja na wanaume wanaowaonea Wanawake
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema ametangaza vita kuwashughukikia kikamilifu wanaume wenye tabia ya kuwaonea Wanawake kwa kuwapiga hadi kuwaharibu mwonekano wa sura,macho,kuwavunja meno au taya na kusababisha baadhi yao kupata ulemavu wa kudumu jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
Makonda ameyasema hayo wakati wa maadhinisho ya siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders .
RC Makonda amesema...
10 years ago
Bongo521 Nov
Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Yanga, Azam kundi moja Mapinduzi
HUSSEIN OMAR NA KOMBO ALI, ZANZIBAR
KLABU za Yanga na Azam zimepangwa kundi moja kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi, ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi visiwani Zanzibar, Januari 2, mwakani katika Uwanja wa Amaan.
Kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa jana, Yanga na Azam wako Kundi B la michuano hiyo pamoja na timu za Mafunzo na Mtibwa Sugar ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakati Kundi A, lina timu za Simba, URA ya Uganda, JKU ya Unguja na Jamhuri ya Pemba kundi ambalo linaonekana kuwa dhaifu...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mapunda ataka namba moja Simba
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Simba Nguvu Moja wapata msiba
KUNDI la hamasa na ushangiliaji la Klabu ya Simba tawi la Nguvu Moja la jijini Dar es Salaam, wamefiwa na shabiki Mawazo Ramadhani ‘Kidedea’ aliyefariki dunia usiku wa kuamkia Julai...
10 years ago
MichuziSimba yaifunga Azam FC 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Azam yaitisha Simba
NA ZAINAB IDDY
TIMU ya Azam FC imewatangazia hali ya hatari Simba katika mechi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayochezwa Desemba 12 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Azam imetamba kuinyuka Simba katika mchezo huo, ambapo hadi sasa vinara hao wa ligi kuu wamefikisha pointi 25, wapinzani wao hao wakishika nafasi ya nne wakiwa na pointi 21 katika mechi tisa walizocheza kila mmoja.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Ofisa Habari wa Azam, Jaffar Idd, alisema maandalizi yao kwa...