Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RECHO: NIMEACHA UTOTO

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’, amefunguka kuwa ameona umri umeanza kumtupa mkono hivyo ameacha kufanya matukio ya kitoto ambayo alikuwa akiyafanya kipindi cha nyuma. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’. Pasipo kuainisha matukio ya utoto aliyoyafanya, Recho alisema:
“Nimekua sasa, yale mambo ya kitoto tupa kule sasa naangalia zaidi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jimmy:Nimeacha Kuvuta Bangi!

Mtayarishaji na mwigizaji wa filamu, Jimmy Mafufu amefunguka kwa kuweka wazi kama alikuwa ni mtumiaji wa kilevi hatari aina ya bangi lakini anashukru Mungu ameacha kutumia kilevi hicho sambamba na sigara na pombe kwani ni Mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila.

“Toka niache kuvuta sigara nina mwezi mmoja nilianza kuacha pombe nikaacha kuvuta Bangi, nakupa ushuhuda unajua mimi ni mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila mwalimu wa watu wa Mungu,”anasema Jimmy.

Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Juma Nature: Pombe nimeacha tangu mwaka jana

KAMA kawaida ya safu hii inakuletea maisha ya watu mbalimbali maarufu kuona wanaishi vipi katika maisha yao ya kawaida. Leo tunaye mwanamuziki  mkongwe  wa Bongo Fleva  na kiongozi  wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature.

Juma Nature ni miongoni mwa wanamuziki wachache walioweza kudumu katika  Bongo Fleva kwa muda mrefu  na kuwa na mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania.

Mwanamuziki huyo alikuja na mtindo wa kipekee  katika muziki wake na...

 

9 years ago

Mwananchi

MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza

Matumizi ya dawa za kulevya, hususan bangi bado ni changamoto kubwa kwa vijana wengi nchini ambapo hujikuta wakitumbukia katika ulevi kuishia kujutia maamuzi yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Utoto’ Bunge la Katiba

UMBUMBUMBU wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba kutoisoma na kuielewa vizuri Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013, umesababisha kwa asilimia kubwa Bunge hilo kushindwa kuanza vikao...

 

11 years ago

GPL

LULU NI UTOTO TU, AKIKUA ATAACHA!

NADHANI ndicho kitu pekee ninachoweza kusema, ili kuweza kwenda sawa na muigizaji Elizabeth Michael, ambaye mashabiki wake wanamfahamu zaidi kama Lulu. Kwamba binti huyu mwenye umri wa miaka 19 sasa, anasumbuliwa na utoto ambao bila shaka akishapevuka, ataachana nao! Niwe mkweli, sijawahi kukutana na binti huyu, iwe kikazi au kwa bahati mbaya. Nimekuwa nikimsikia tu, ingawa kwa nature ya kazi yangu, nafuatilia kwa karibu sana...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe akerwa na utoto bungeni

>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,amekemea vikali tabia ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba,kuzomeana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhuni, utoto vitalisambaratisha taifa

RAIS wangu, lilipoibuliwa wazo ovu la vua gamba, timamu hawakushangaa. Jambo la kihuni au la kitoto haliwezi kumshtua mtu mzima. Lilizuliwa kitoto, likatekelezwa kihunihuni na lilipomalizwa kijingajinga, wachezaji wakabaki kuonekana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zlatan:Wachezaji wa Chelsea wana 'utoto'

Wachezaji wa Chelsea walijifanya kama watoto wakati wa tukio lililosababisha Zlatan Ibrahimovic kupewa kadi nyekundu,

 

10 years ago

Tanzania Daima

Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani