Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU NI UTOTO TU, AKIKUA ATAACHA!

NADHANI ndicho kitu pekee ninachoweza kusema, ili kuweza kwenda sawa na muigizaji Elizabeth Michael, ambaye mashabiki wake wanamfahamu zaidi kama Lulu. Kwamba binti huyu mwenye umri wa miaka 19 sasa, anasumbuliwa na utoto ambao bila shaka akishapevuka, ataachana nao! Niwe mkweli, sijawahi kukutana na binti huyu, iwe kikazi au kwa bahati mbaya. Nimekuwa nikimsikia tu, ingawa kwa nature ya kazi yangu, nafuatilia kwa karibu sana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Masanja Kwenye Foleni ya Ubunge Ludewa.. Ataacha Komedi? Asipopita? Viatu vya Marehemu?

Uchaguzi Mkuu Tanzania umekwisha na zile headlines mfululizo kuhusu Siasa zimeanza kupungua pia, lakini hazijaisha… YES !! Bado headlines zitaendelea kutufikia kwa sababu kuna Majimbo ambayo Uchaguzi ulisogezwa mbele baada ya kutokea matatizo mbalimbali ikiwemo Wagombea wake kufariki.

RIP Marehemu Deo Haule Filikunjombe… stori inagusa Jimbo lake sasahivi, ni Jimbo la Ludewa lililopo Mkoa wa Njombe.

Mchakato kwenye Jimbo hilo umeanza, kwa upande wa CCM ndio kumeshika kasi yenyewe, kwenye...

 

11 years ago

GPL

RECHO: NIMEACHA UTOTO

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’, amefunguka kuwa ameona umri umeanza kumtupa mkono hivyo ameacha kufanya matukio ya kitoto ambayo alikuwa akiyafanya kipindi cha nyuma. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’. Pasipo kuainisha matukio ya utoto aliyoyafanya, Recho alisema:
“Nimekua sasa, yale mambo ya kitoto tupa kule sasa naangalia zaidi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Utoto’ Bunge la Katiba

UMBUMBUMBU wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba kutoisoma na kuielewa vizuri Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013, umesababisha kwa asilimia kubwa Bunge hilo kushindwa kuanza vikao...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe akerwa na utoto bungeni

>Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,amekemea vikali tabia ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba,kuzomeana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhuni, utoto vitalisambaratisha taifa

RAIS wangu, lilipoibuliwa wazo ovu la vua gamba, timamu hawakushangaa. Jambo la kihuni au la kitoto haliwezi kumshtua mtu mzima. Lilizuliwa kitoto, likatekelezwa kihunihuni na lilipomalizwa kijingajinga, wachezaji wakabaki kuonekana...

 

11 years ago

Mwananchi

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zlatan:Wachezaji wa Chelsea wana 'utoto'

Wachezaji wa Chelsea walijifanya kama watoto wakati wa tukio lililosababisha Zlatan Ibrahimovic kupewa kadi nyekundu,

 

10 years ago

Tanzania Daima

Butiku: Kinachofanyika Bunge la Katiba ni utoto

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema kitendo kinachoendelea sasa hivi katika Bunge la Katiba ni cha kitoto kutokana na ukweli kwamba katiba haiwezi kupatikana kwa kupitishwa...

 

9 years ago

Michuzi

WATOTO BADO WANAENDELEA KUDHULUMIWA UTOTO WAO- UMOJA WA MATAIFA

 Picha hii kutoka maktaba inamwonyesha mtoto ambaye anatumika kama askari na hivyo kumnyima haki yake ya msingi ya kuishi utoto wake,  pamoja na kupata huduma zake za msingi kama vile afya, elimu, malenzi na ukuaji  wenye hadhi. Pamoja na  Umoja wa Mataifa kuendelea na kampeni yake ya kupinga watoto  kutumika kama askari, bado  taarifa za hivi karibu za Umoja wa Mataifa, zinaeleza kuwa watoto bado wanaendelea kutumika katika baadhi ya maeneo kama askari,  huku wengine wakiingizwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani