Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masanja Kwenye Foleni ya Ubunge Ludewa.. Ataacha Komedi? Asipopita? Viatu vya Marehemu?

Uchaguzi Mkuu Tanzania umekwisha na zile headlines mfululizo kuhusu Siasa zimeanza kupungua pia, lakini hazijaisha… YES !! Bado headlines zitaendelea kutufikia kwa sababu kuna Majimbo ambayo Uchaguzi ulisogezwa mbele baada ya kutokea matatizo mbalimbali ikiwemo Wagombea wake kufariki.

RIP Marehemu Deo Haule Filikunjombe… stori inagusa Jimbo lake sasahivi, ni Jimbo la Ludewa lililopo Mkoa wa Njombe.

Mchakato kwenye Jimbo hilo umeanza, kwa upande wa CCM ndio kumeshika kasi yenyewe, kwenye...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Masanja aangukia pua kwenye kura za maoni ya ubunge Ludewa

Masanja Mkandamizaji

Mchekeshaji, Masanja Mkandanizaji ameangukia pua katika kura za maoni za ubunge katika jimbo la Ludema baada ya kupata kura chache.

Masanja Mkandamizaji

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi, Deo Ngalawa aliwashinda makada wenzake tisa waliokuwa wakiwania nafasi hiyo kwa kupata kura 537 akifuatiwa na mdogo wa marehemu Filikunjombe, Philip aliyepata kura 501.

Makada wengine ni Edgar Lugome, Johnson Mgimba, Emmanuel Mgaya maarufu Masanja Mkandamizaji (19), James Mgaya (72), Jackob Mpangala (3), Evaristo Mtitu (21)...

 

10 years ago

Dewji Blog

Natosha kuvaa viatu vya ubunge wa Dewji Singida mjini- Hasan Mazala

fomu

Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.

kwa nguvu

Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.

nimenyooka

Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.

ninao uwezo

tuko imara

Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.

pamoja

vijana

Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan...

 

9 years ago

Bongo5

Masanja Mkandamizaji ajitosa kumrithi Filikunjombe Ludewa

11950556_494360970724890_593438941_n

Mchekesha wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amekuwa miongoni mwa wagombea sita waliojitokeza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Ludewa, Njombe kwa tiketi ya CCM.

Masanja Mkandamizaji

Uchaguzi katika jimbo la Ludewa uliahirishwa baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge na mgombea wa jimbo hilo, Deogratius Filikunjombe.

Mwingine aliyejitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM ni mdogo wa marehemu, Philipo Filikunjombe.

Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa, Luciano...

 

9 years ago

Bongo Movies

Masanja Asema Sababu Zilizomfanya Ashindwe Jimbo la Ludewa

Mwigizaji wa filamu za vichekesho,Masanja alikuwa ni mmoja kati makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) waliochukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Ludewa kwa ajili ya kumrithi aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo aliyefariki kwenye ajali ya helkopta,marehemu Deo Fulikunjombe amezungumza sababu ya kushindwa kwenye amezungumzia sababu kushindwa kwenye kinyang’anyiro hicho,alipata kura 19 huku mshindi ambaye ni Deo Ngalawa akiibuka kwa kura 537.

’Cha kwanza kabisa ambacho sikutegemea nilichokuwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Maneno ya Masanja Baada ya Kushindwa Kura za Maoni Ludewa..

List ya mastaa wa Bongo Tanzania ambao walijitosa na kujipanga kwenye foleni ya kuusaka Ubunge iliongezeka baada ya mchekeshaji kutoka Kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji nae kujitosa kwenye foleni hiyo.   Masanja alithibitisha kwamba kazi ya Ubunge anaiweza   “Orijino Komedi ipo, mimi sio member wa kundi, mimi ni mwanzilishi.. siwezi kuacha Komedi, mbona nilikuwa Mchungaji na sikuacha Komedi.. nitakuwa Mbunge, Komedi na Church…” Hii ni siku chache zilizopita kwenye exclusive...

 

10 years ago

GPL

MTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC, AAPA KUTOKUGOMBEA UBUNGE

  Mkuu  wa wilaya ya  Ludewa Antonia Choya akimkabidhi Mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe (kushoto)  hati ya  shukrani ya kushiriki mbio  za Mwenge.…

 

9 years ago

Habarileo

CCM washinda ubunge Masasi, Ludewa wanukia

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kutamba katika chaguzi ndogo baada ya kushinda katika Jimbo la Masasi mkoani Mtwara huku ikiwa na kila dalili ya kutangazwa mshindi Ludewa mkoani Njombe.

 

9 years ago

Mwananchi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani