Masanja Asema Sababu Zilizomfanya Ashindwe Jimbo la Ludewa
Mwigizaji wa filamu za vichekesho,Masanja alikuwa ni mmoja kati makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) waliochukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Ludewa kwa ajili ya kumrithi aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo aliyefariki kwenye ajali ya helkopta,marehemu Deo Fulikunjombe amezungumza sababu ya kushindwa kwenye amezungumzia sababu kushindwa kwenye kinyang’anyiro hicho,alipata kura 19 huku mshindi ambaye ni Deo Ngalawa akiibuka kwa kura 537.
’Cha kwanza kabisa ambacho sikutegemea nilichokuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-wRjaqNY0Xsk/VUzQdlYeZXI/AAAAAAABN6I/3MMG6aAOONw/s72-c/RAY.jpg)
RAY KIGOSI ATOA SABABU INAYOMFANYA ASHINDWE KUOA HADI SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-wRjaqNY0Xsk/VUzQdlYeZXI/AAAAAAABN6I/3MMG6aAOONw/s400/RAY.jpg)
Akizungumza na gazeti la Ijumaa katika mahojiano maalum, Ray alisema amekuwa akipangua mawazo ya kuoa kila wakati kutokana na ugumu wa kumpata mwanamke ambaye hatampa stress kama zinazowapata baadhi ya watu.Alisema, kwa kuwa suala la kuoa ni jambo nyeti, halihitaji kukurupuka na hicho ndicho kimemfanya mpaka leo...
9 years ago
Bongo525 Nov
Rich Mavoko ataja sababu zilizomfanya awe kimya kwa zaidi ya mwaka mmoja
![mavoko new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mavoko-new-300x194.jpg)
Rich Mavoko ameachia wimbo mpya Jumanne (Nov.24), ikiwa ni mwaka mzima na miezi miwili toka alipoachia single ya mwisho ‘Pacha Wangu’.
Wakati akitambulisha single mpya iitwayo ‘Naimani’ kupitia XXL ya Clouds Fm, Mavoko amezitaja sababu zilizomfanya asitoe wimbo kwa kipindi kirefu toka mwaka jana.
“Cha kwanza Pacha Wangu ni wimbo nimetoa mwezi wa 9 (2014) lakini pia imekuwepo kwa muda mrefu, sisemi kwamba natakiwa nitoe nyimbo ikae muda mrefu hapana.”
Mavoko aliendelea,
“lakini kusuasua...
9 years ago
Bongo506 Nov
Masanja Mkandamizaji ajitosa kumrithi Filikunjombe Ludewa
![11950556_494360970724890_593438941_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11950556_494360970724890_593438941_n-300x194.jpg)
Mchekesha wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji amekuwa miongoni mwa wagombea sita waliojitokeza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Ludewa, Njombe kwa tiketi ya CCM.
Uchaguzi katika jimbo la Ludewa uliahirishwa baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge na mgombea wa jimbo hilo, Deogratius Filikunjombe.
Mwingine aliyejitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho ndani ya CCM ni mdogo wa marehemu, Philipo Filikunjombe.
Akizungumza na Mwananchi Digital, Katibu wa CCM wilaya ya Ludewa, Luciano...
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Maneno ya Masanja Baada ya Kushindwa Kura za Maoni Ludewa..
9 years ago
Bongo511 Nov
Masanja aangukia pua kwenye kura za maoni ya ubunge Ludewa
![Masanja Mkandamizaji](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Masanja-Mkandamizaji-300x194.png)
Mchekeshaji, Masanja Mkandanizaji ameangukia pua katika kura za maoni za ubunge katika jimbo la Ludema baada ya kupata kura chache.
Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi, Deo Ngalawa aliwashinda makada wenzake tisa waliokuwa wakiwania nafasi hiyo kwa kupata kura 537 akifuatiwa na mdogo wa marehemu Filikunjombe, Philip aliyepata kura 501.
Makada wengine ni Edgar Lugome, Johnson Mgimba, Emmanuel Mgaya maarufu Masanja Mkandamizaji (19), James Mgaya (72), Jackob Mpangala (3), Evaristo Mtitu (21)...
9 years ago
Bongo Movies07 Nov
Masanja Kwenye Foleni ya Ubunge Ludewa.. Ataacha Komedi? Asipopita? Viatu vya Marehemu?
Uchaguzi Mkuu Tanzania umekwisha na zile headlines mfululizo kuhusu Siasa zimeanza kupungua pia, lakini hazijaisha… YES !! Bado headlines zitaendelea kutufikia kwa sababu kuna Majimbo ambayo Uchaguzi ulisogezwa mbele baada ya kutokea matatizo mbalimbali ikiwemo Wagombea wake kufariki.
RIP Marehemu Deo Haule Filikunjombe… stori inagusa Jimbo lake sasahivi, ni Jimbo la Ludewa lililopo Mkoa wa Njombe.
Mchakato kwenye Jimbo hilo umeanza, kwa upande wa CCM ndio kumeshika kasi yenyewe, kwenye...
9 years ago
Eatv![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-0/s130x130/10449466_1343764422304639_2677089235026161154_n.jpg?oh=0c6a49588b4f31dba6f47d306669bd4d&oe=568AA299&__gda__=1456597857_adc11ee2aeaa30c64b03d35caf373139)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Mtangaza nia ubunge Ludewa aangukia pua nafasi ya NEC , asema hataki tena kugombea
Mkuu wa wilaya ya Ludewa, Antonia Choya akimkabidhi hati ya shukrani mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (kushoto).
Mjumbe wa mkutano huo Bw. Choya akipiga kura.
Wajumbe wakishiriki kupiga kura.
Wajumbe ...