Jay Z kujiondoa kwenye Instagram
LOS ANGELES, Marekani
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jay Z, amepanga kujiondoa kwenye mtandao wa Instagram baada ya juzi kuweka picha ya marehemu Michael Jackson, ikikumbuka Agosti 29 ambayo ni siku ya kuzaliwa ya gwiji huyo wa muziki duniani.
Jay Z aliweka picha hiyo akiwa amepiga na gwiji huyo huku akiandika maneno yaliyosomeka: ‘Heri ya kuzaliwa mfalme wa muziki.’
“Hii inaweza kuwa ni picha yangu ya mwanzo na mwisho kuweka kwenye mtandao wa Instagram kwa kuwa sio mpenzi wa kutumia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Msako kwenye mtandao wa Instagram
9 years ago
Bongo511 Nov
Jux aonesha milioni 100 kwenye Instagram (Picha)
![page](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/page-300x194.jpg)
Kumiliki shilingi milioni 100 kwa wakati mmoja kwa watu wengi ni ndoto nadra kutimia. Kwa Jux hizo ni fedha anazozishika kila wakati na ndio maana haoni hatari kuwaonesha mashabiki wake kwenye Instagram.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jux amepost picha za fedha hizo zilizo kwa dola na kuandika:
It’s 50k in USD, its 100million in TSHs I think I don’t have a bad weekend I saw my first 100mil when I was 22 now it’s not new anymore go hard everything is possible in God I trust don’t forget...
11 years ago
Bongo506 Aug
Alikiba atoa sababu ya kuunfollow watu wote kwenye Instagram
10 years ago
Bongo512 Nov
Afadhali: Sasa unaweza kurekebisha/kuedit caption kwenye Instagram
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nanyumbu wachekelea kujiondoa mkiani
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imefanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2014, baada ya kushika nafasi ya tatu kimkoa ikilinganishwa na mwaka 2013 ambapo ilishika nafasi ya mwisho kati ya halmashauri saba zinazounda mkoa huo.
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Zamalek kujiondoa katika ligi ya Misri
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-G8NNk7VaCrA/VM59pnIu5JI/AAAAAAAAKoA/sc4yRB9tXgE/s72-c/ByEywjSIQAEQ3St.jpg)
ALOCHOANDIKA JOHN TERRY KWENYE INSTAGRAM BAADA YA MTANANGE WAO NA MAN CITY
![](https://lh3.googleusercontent.com/-G8NNk7VaCrA/VM59pnIu5JI/AAAAAAAAKoA/sc4yRB9tXgE/s640/ByEywjSIQAEQ3St.jpg)
A good point after yesterday's game which leaves us top and 5 points clear of Manchester City.
Lamps is a proper Chelsea LEGEND and I'm so pleased he got a great send off after the game because I know how much Chelsea means to him. Lamps won everything with us and in my opinion the best and most consistent player ever.
Love Ya mate
#respect
9 years ago
Bongo505 Jan
Tyga matatani, ni kwa kudaiwa kumtongoza binti wa miaka 14 kwenye Instagram (Video)
![0104-kylie-tyga-ok-magazine-sub-underage-girl-ok-magazine-4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/0104-kylie-tyga-ok-magazine-sub-underage-girl-ok-magazine-4-300x194.jpg)
Tyga yupo kwenye kiti moto. Ni kwa kudaiwa kuwa na uhusiano na msichana wa miaka 14 aliyemtafuta kupitia Instagram.
Hivi ndivyo msichana huyo alivyosema:
“I’m very upset that a story about Tyga, Kylie Jenner and me was published in OK! Magazine and I want people to know the truth. The truth is that Tyga contacted me first. He direct-messaged me on Instagram. I knew who he was, but I was surprised that he was contacting me. I thought that it could possibly be about my music but he did not...
9 years ago
Bongo504 Nov
Wema Sepetu awa Mtanzania wa pili kufikisha followers milioni 1 kwenye Instagram
![11385131_915960011829242_1002926144_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11385131_915960011829242_1002926144_n-300x194.jpg)
Wema Sepetu amekuwa mtanzania wa pili kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa Instagram.
Mrembo huyo anachukua nafasi hiyo baada ya ex wake, Diamond Platnumz kufikisha idadi hiyo wiki kadhaa zilizopita. Hata hivyo tofauti yao ni kuwa account ya Diamond iko verified.
Hatua hiyo imekuja siku mbili tu baada ya Wema kuangusha birthday party iliyohudhuriwa na mastaa wote wa orodha A nchini. Pia alizindua brand zake za vipodozi zikiwemo lipstick za Kiss by Wema Sepetu.
Mastaa wengine...